Nimpende Na kumuoa nani!

Nimpende Na kumuoa nani!

Yaani ni mtoto Wa mama mno,sijui kama atakuja kutoka kwao.mama yake mzazi anamganda mno hataki binti yake aolewe,akitoka kidogo kuja gheto mamake anapiga simu weeee wakati huyu ni mtu mzima
Anauchungu na mwanae anajua anamegwa
 
Fanya venye moyoo wako unapenda, sitaki kuja kulaumiwa na ushauri wangu!!!

Lakini kumbuka chozi la mtu likikulilia sababu ya ahadi zako ni mikosi tosha. Usisahau kuomba toba kwa ajili ya hilo
 
" nipo katika hatua za mwishoni kufunga ndoa January " seriously!? Au unatuchora tu bob
 
Wasalaamu!
Nina wachumba wanne tofauti Na nipo katika hatua za mwishoni kufunga ndoa January.

Sasa Nina wachumba wanne ambao wote waliomba niwaone nami nikawaahidi kuwaoa!

Lengo ninaogopa kukosea sana maana sitaki kuoa Na kuacha!
Wanawake wenyewe Na sifa zao ni hizi nisaidieni kubaini mke mwema!

Wa kwanza!
Ni mtoto Wa kinyarwanda miaka 20.
Ana umbile namba 8,elimu cheti cha maendeleo ya jamii.mpole ila hapendi utani utani,in short very serious!
Anapenda dini ila ana amri amri tu,hupenda kwenda kanisani tu ambako ni mwana kwaya,ananishauri niache u DJ eti sio kazi! Nitafute kazi.

Wa pili ni mwarabu nusu mixture,ana bonge la shepu,chura ya kufa mtu,ila anapenda chapaa sana,yani akija ghetto lazima aondoke Na misimbazi!
Nilimbikiri mm mwenyewe akiwa Na miaka 18,anasema ataniroga ikiwa nitaoa mwingine!
Pia huniagiza vitu vidogo vidogo sokoni naona kero!

Wa tatu ni dada mmoja mnyaturu Wa singida nilizaa nae mtoto nikiwa chuo!
Huyu niliwahi kudaka mawasiliano yenye utata ktk simu yake nikapiga chini ila mtoto namuhudumia 100%.
Yeye ni nesi.

Wa NNE ni single mother, ana miaka 25 nilikutana naye club ana degree Na anafanya kazi NSSF,ametokea kunipenda sana Na nikimwambia naona mwingine anaweza akazimia!

Ushauri wakuu.
Niachie huyo wa tatu nitakusaidia pia kulea ni kabila langu pia
 
Kamata huyo wa3 mengine mtavumiliana maana hata wewe mwenyewe moto mkali so mtaendana usiporudi na yy halali ndani basi bilabila
 
Back
Top Bottom