Nimpende nani kati ya Madame B na Nasema

Nimpende nani kati ya Madame B na Nasema

Za kwako Chilli,leo una chenchi usije poteza wateja kwa kukosa chenchi

We mkongoman hebu niachie mi nitukie, au hadi nikutumie uhamiaji? Baba V tafadhali mwambie huyu mkongo aachane na mimi nisije mTemeke.
 
Last edited by a moderator:
watu8 mabinti zangu wote nawafundisha ujasiriamali sitaki tena mzidi kuwanyanyapaa,
nataka wawe majasiri kama mimi mama yao.

Mhhh huu kweli utakua ujasiri wa kuchuma mali....kumbe wewe ndiye upo nyuma ya yote haya
 
Last edited by a moderator:
Nilikuaga na mupenzi akanizingua,na leo nataka Madame B nimuenzi,isije siku,miezi nae akanisumbua,
naogopa sana vichanga kama Nasema wasije wakanitenda nikazama na huku nina mapenzi ya ukweli.
Wazuri ni wengi ila kuwapata wenye mapenzi ya ukweli kama Madame B ndio balaa,wengi wajanja watoto wa mjini kama cacico wamejaa utapeli na tamaa za pesa kama Mirhea.
Yasiwe kama ya Mamndenyi kila siku mlimani city,usimtake ka Nasema nimteme ana hasira,mpole kama charminglady ila sauti ka darling Madame B akiwa analia kicheko kama cha asali ya moyo wangu Madame B,
baby Madame B ur my number one,uliniomba niconfess hadharani kuwa wewe ni zaidi nami nimefanya hivyo.baby ur my number one.

Kumpenda Madame B unatakiwa uwe na roho ya spear Mkuu, kuna mtu ananinong'oneza hapa kuwa eti Nasema ni denti.
 
Last edited by a moderator:
Mungi,
mzima wewe?
Nitakupa kadi ya mwaliko.

Thanks Madame B,
najua kwako nitapokea kadi za mwaliko kibao.......... mwache aingie kichwa kichwa..... ukishamliza utuambie tukulengeshee mwingine naye apate kichapo hahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Nawaza ukumbi mamii,tutumie ukumbi wa kempinski ama nyumba yetu mpya?

We subiri uone...................... unadhani Madame B nanino hohoooooooooooo.......... usije kusema haujaambiwa
 
Last edited by a moderator:
Thanks Madame B,
najua kwako nitapokea kadi za mwaliko kibao.......... mwache aingie kichwa kichwa..... ukishamliza utuambie tukulengeshee mwingine naye apate kichapo hahaaaaa

hahahahahaaaa....
Sa hvi nimetulia kwa wangu wa Ubani,
Papaa Chimbuvu wangu.
Nampendaje thatha jamani!
Mungi,unampiga chura teke?
Haya bhana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom