Madam B hicho kimzizi chako barrraaaaa,mgaie kidogo na BADILI TABIA maana nasikia mzee kidonge anataka kumpiga chini.
Madam B hicho kimzizi chako barrraaaaa,mgaie kidogo na BADILI TABIA maana nasikia mzee kidonge anataka kumpiga chini.
Nimeshaingia tz,leo jioni utaniona ntakuwa ktk party fupi na wachezaji wa timu ya taifa ya tanzania (kilimanjaro stars)
Tutumie ile nyumba yetu mpenzi.
Kempinski pamenichoka.
Kwa ni we siku ile Vuga ulikwenda kufanya nini?
Hebu waambie hao,waache waendelee na kelele za chura
Duh! Ntakutafuta hapo miti mirefu nasikia ndio kijiwe chako