Nimpende nani kati ya Madame B na Nasema

hahahahahaaaa....
Sa hvi nimetulia kwa wangu wa Ubani,
Papaa Chimbuvu wangu.
Nampendaje thatha jamani!
Mungi,unampiga chura teke?
Haya bhana.
Madam B hicho kimzizi chako barrraaaaa,mgaie kidogo na BADILI TABIA maana nasikia mzee kidonge anataka kumpiga chini.
 
Last edited by a moderator:
Nimeshaingia tz,leo jioni utaniona ntakuwa ktk party fupi na wachezaji wa timu ya taifa ya tanzania (kilimanjaro stars)

mpaka hapo umeshakosea umeiga style ya mwenzako nae alianza hivi hivi sema tofauti ni maeneo tu
 
Sawa mamii halafu pia ktk suala la zawadi tutatoa maelekezo hatutahitaji vyombo vya ndani,furnitures,,sofa,bedroom set,fridge,3d tv,hivyo tunavyo itabidi tuwaambie zawadi zao ziwe hasa ktk decorations na mashine za kukata nyasi ama kuna lingine mamii?



Tutumie ile nyumba yetu mpenzi.
Kempinski pamenichoka.
 
hahahahahaaaa....
Sa hvi nimetulia kwa wangu wa Ubani,
Papaa Chimbuvu wangu.
Nampendaje thatha jamani!
Mungi,unampiga chura teke?
Haya bhana.

Ukishampiga kibuti huyo Chimbuvu wako utupe taarifa mapema tujiandae kumpiga chura teke
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaa haahah


Thanks Madame B,
najua kwako nitapokea kadi za mwaliko kibao.......... mwache aingie kichwa kichwa..... ukishamliza utuambie tukulengeshee mwingine naye apate kichapo hahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Angalia mgambo wasije kukupiga na mali zako unazouza


We mkongoman hebu niachie mi nitukie, au hadi nikutumie uhamiaji? Baba V tafadhali mwambie huyu mkongo aachane na mimi nisije mTemeke.
 
Tulishakuonya mkuu, nakuambia subiri kibuti cha Madame B uone kivumbi chake hohooooooooo

Yani kama treni lishafika Kigoma.
Na kama ni style basi ni ya Mbuzi kagoma kwenda.
Sitaki maneno.
Nimetulia tulii.
 
Last edited by a moderator:
Umeshapata lunch?naona una njaa,hebu nenda ktk mgahawa uagizie chakula halafu wataniletea invoice nikulipie


Tulishakuonya mkuu, nakuambia subiri kibuti cha Madame B uone kivumbi chake hohooooooooo
 
Last edited by a moderator:
Hebu waambie hao,waache waendelee na kelele za chura


Yani kama treni lishafika Kigoma.
Na kama ni style basi ni ya Mbuzi kagoma kwenda.
Sitaki maneno.
Nimetulia tulii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…