Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Niko kaunta ,naagiza nalipaAngalia wahudumu wasije wakazidisha bill
Asanteee sana mkuu tupo pamojaaapole kwa kupokea "mshahara"
Wacha nijaze comment zangu tu kuonesha kweli fursa nimeionahahaha muonee huruma mwenzio
Safi sna mm naona wivu usije kumshika muhudumu tafadhaliNiko kaunta ,naagiza nalipa
eewaaah safi kabisa...Wacha nijaze comment zangu tu kuonesha kweli fursa nimeiona
Kaunta muhudumu hana nafasiSafi sna mm naona wivu usije kumshika muhudumu tafadhali
Anaona aibu huyuuu kwa kweli hata kutongoza mpaka azungukeee wewe kaamua kutaja jina ambalo halijulikanieewaaah safi kabisa...
itamuonyesha jinsi gani unajali hisia zake
Tuko pamoja kama ndo hivyoKaunta muhudumu hana nafasi
Kumbe domo zege tuko wengiAnaona aibu huyuuu kwa kweli hata kutongoza mpaka azungukeee wewe kaamua kutaja jina ambalo halijulikani
Silali mpaka nihakikishe imefika page ya 10 nitapost hata mapicha picha tueewaaah safi kabisa...
itamuonyesha jinsi gani unajali hisia zake
Itabidi tumsubiri huyu Shida na raha alete jibu anasubir kufatwa piemKumbe domo zege tuko wengi
πππSilali mpaka nihakikishe imefika page ya 10 nitapost hata mapicha picha tu
Hii ni tatu mzuka atakuwa ananichora kama kweli nipo serious yawezeka huyu ni handsome alafu mjedaaaπππ
umeamua kuulinda uzi wako spesheli
hahahah anaogopa mashindano maana wengine wanaokuwinda wakijua na yeye kajiunga rasmi kwenye mbio watamfanyia fitnaAnaona aibu huyuuu kwa kweli hata kutongoza mpaka azungukeee wewe kaamua kutaja jina ambalo halijulikani
si ndio maana heri umfungulie solex pm ili ujue usije ukapoteza bonge la handsomeHii ni tatu mzuka atakuwa ananichora kama kweli nipo serious yawezeka huyu ni handsome alafu mjedaaa
hataki kumwaga mchele kwenye kuku wengiWewe mtoa uzi uko busy piem au hebu njooo haraka bhn
πππππView attachment 707200
Nimechungulia last seen ndo hiyo naona umeenda kuangalia mapigo ya moyo kwanza
Kumbe nilkuwa sjui kumbe huwa kuna fitina eeeehhahahah anaogopa mashindano maana wengine wanaokuwinda wakijua na yeye kajiunga rasmi kwenye mbio watamfanyia fitna