Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
- Thread starter
-
- #101
Ni mfano tu kwasababu nimeona kama vile nimekuzowea, ikiwa kuna mtu aje.Hahahha anaogopa kunifungulia uzi wa kunitongoza watamwita kichaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Chumbani bibie...Abainishe sifa zake
Pumzika...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]muulize sasa mwanamke gan atamfata pm kama ameshaandika cha mdeko kuna fursa labda wale wasiolijua hilo jina wakazan anataka kudeka kama huyo aliyewahi siti alivyoccoment
Hapana mkuu nilipitiwa na bonge la usinhiziii.mpaka mwenye uzi nae kakimbia
HahahaAmeenda kuchungulia sms yangu pm
Nimeshajuta kutaja hilo jina maana naona hakuna hata mmoja aliekuja dah! Ni masikitiko kwakweli.Anaona aibu huyuuu kwa kweli hata kutongoza mpaka azungukeee wewe kaamua kutaja jina ambalo halijulikani
Hahaha kweli mkuu naona aibu kwakweli sijui hata huyo atakae kuja pm nitamuanza vipi, labda anianze yeye.Kumbe domo zege tuko wengi
Nilipitiwa na usingizi vibaya mnoo, haya nimekuja lete matam.Wewe mtoa uzi uko busy piem au hebu njooo haraka bhn
Hahahasi ndio maana heri umfungulie solex pm ili ujue usije ukapoteza bonge la handsome
Nililala kama mlevi...View attachment 707200
Nimechungulia last seen ndo hiyo naona umeenda kuangalia mapigo ya moyo kwanza
Hahaha...Hapana binam yangu...nilipitiwa na usingizi hatari.Empty set ameshakumbatia mwanamke mwingine hukoo kashindwa kuingia jf hapa namsubir kwa hamu kutuchomesha mahindi ndo nn
Njoo serious sitanii utakuja kuleta mrejesho we fanya masihara tu...Nakuja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njoo serious sitanii utakuja kuleta mrejesho we fanya masihara tu...
Mbona unacheka au niruhusu nije chemba basi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nijee???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo. Ila uje na picha mbili moja ionyeshe sura vizuri nyingine ionyeshe mwili mzima, docs zozote za mali unazomiliki na bank statement. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nijee???
Hahaha nakuja kununua kiwanja loh!Njoo. Ila uje na picha mbili moja ionyeshe sura vizuri nyingine ionyeshe mwili mzima, docs zozote za mali unazomiliki na bank statement. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha nakuja kununua kiwanja loh!
Em njoo chemba tuyajenge tafadhali...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]