nimpepambana na Pro Isrel kihoja mpaka kaona aibu

nimpepambana na Pro Isrel kihoja mpaka kaona aibu

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Jama alikuwa anadanganya sana abiria katika gari. akipaza sauti ya kuonyesha Isreal ina nguvu na kuwadanganya abiria ambao uelewa wao mdogo katika swala hili. Nilipombana kwa hoja agaeuza maneno. alajifanya hapendi vita vile. akijifanya kuongea kiengereza kama msomi vile kumbe 0. aliotuona tumevaa bagharashia akatuona hatujui kitu duniani kumbe sivo.
baada ya kujiona mdogo kihoja akanyamaza
 
Ma watu ya hivo mi siwezagi hata kupambana nayo, huwa nayaacha tu yapotee na ujinga wao...
Ni mwendo wa pointless tu dah...
 
Jama alikuwa anadanganya sana abiria katika gari. akipaza sauti ya kuonyesha Isreal ina nguvu na kuwadanganya abiria ambao uelewa wao mdogo katika swala hili. Nilipombana kwa hoja agaeuza maneno. alajifanya hapendi vita vile. akijifanya kuongea kiengereza kama msomi vile kumbe 0. aliotuona tumevaa bagharashia akatuona hatujui kitu duniani kumbe sivo.
baada ya kujiona mdogo kihoja akanyamaza

Motion ilikuwa ni nini? Na hoja au points ni zipi?
 
Jama alikuwa anadanganya sana abiria katika gari. akipaza sauti ya kuonyesha Isreal ina nguvu na kuwadanganya abiria ambao uelewa wao mdogo katika swala hili. Nilipombana kwa hoja agaeuza maneno. alajifanya hapendi vita vile. akijifanya kuongea kiengereza kama msomi vile kumbe 0. aliotuona tumevaa bagharashia akatuona hatujui kitu duniani kumbe sivo.
baada ya kujiona mdogo kihoja akanyamaza
Unahoja ww? au ulibaki kusema kafiri
 
Jama alikuwa anadanganya sana abiria katika gari. akipaza sauti ya kuonyesha Isreal ina nguvu na kuwadanganya abiria ambao uelewa wao mdogo katika swala hili. Nilipombana kwa hoja agaeuza maneno. alajifanya hapendi vita vile. akijifanya kuongea kiengereza kama msomi vile kumbe 0. aliotuona tumevaa bagharashia akatuona hatujui kitu duniani kumbe sivo.
baada ya kujiona mdogo kihoja akanyamaza

Kwa huu uandishi ni dhahiri alikua sahihi kuwadharau, hudhuria darasa la msingi ufunzwe namna ya kuzingatia alama za uakifishaji.
Bado haujahitimu kujadili masuala ya kimataifa, kuna kasoro sana kwenye hiyo ilmu ya dunia.
 
Back
Top Bottom