Nimpongeze MO hadharani na kumkosoa kidogo

Nimpongeze MO hadharani na kumkosoa kidogo

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
Habari Wana jukwaa.

Nitaandika kwa KIFUPI Mno.

NIMPONGEZE muwekezaji Mohamed Gulam DEWJI kwa kuipeleka timu Dubai kwa maandalizi ya MICHEZO ya KLABU BINGWA na kujiweka tayari kwa LIGI KUU.

Mchezaji Bora wa Simba kwa Miaka MIWILI Baada ya kuondoka Chama ni Henock Inonga.

Inonga Amepata Jerahi dhidi ya Tanzania Prison kwanini Aachwe Dar es salaam Asiende kupata MATIBABU Dubai?

Dubai Kuna Vifaa Tiba.
Kuna wataalamu.
Kuna MADAWA.
Kuna madaktari BINGWA nknk.
HILI LIMENISIKITISHA SANA.

2 MO.
TUNAOMBA uajiri MKURUGENZI wa Ufundi Simba.

Usajili kama
Dejan.
Okwa.
Akpan.
Banda.
Kanute.
Okra.

Huu ni usajili mbovu sana.
Hawa wachezaji ni Mzigo kwa KLABU.

Nyoni.
Boko.
Mkude.
Gadiel.
KIBU.
Kyombo.

Hawa ni TATIZO mno.
 
Zamani wachezaji wakiumwa haraka walikuwa wakikimbizwa Africa kusini au India Sasa hivi ni kama Kuna kaubahili au yule mjumbe wa bodi ambaye ni mkurugenzi mkuu muhimbili anawashauri kuwa wanaweza kupata matibabu hospital ya. Taifa ni kama Kapombe alipoumia mara ya mwisho alichukua muda mrefu kurejea uwanjani
 
Inonga yuko DRC

Simba kuna madalali

Banda alisajiliwa sababu tu alikuwa ulaya kwa mkopo.

Simba haitakiwi kuwa timu ya kukuza vipaji kwenye First Team

Bocco umri wake umefikia ukomo, asiongezewe mkataba
 
Habari Wana jukwaa.

Nitaandika kwa KIFUPI Mno.

NIMPONGEZE muwekezaji Mohamed Gulam DEWJI kwa kuipeleka timu Dubai kwa maandalizi ya MICHEZO ya KLABU BINGWA na kujiweka tayari kwa LIGI KUU.

Mchezaji Bora wa Simba kwa Miaka MIWILI Baada ya kuondoka Chama ni Henock Inonga.

Inonga Amepata Jerahi dhidi ya Tanzania Prison kwanini Aachwe Dar es salaam Asiende kupata MATIBABU Dubai?????
Dubai Kuna Vifaa Tiba.
Kuna wataalamu.
Kuna MADAWA.
Kuna madaktari BINGWA nknk.
HILI LIMENISIKITISHA SANA.

2 MO.
TUNAOMBA uajiri MKURUGENZI wa Ufundi Simba.

Usajili kama
Dejan.
Okwa.
Akpan.
Banda.
Kanute.
Okra.

Huu ni usajili mbovu sana.
Hawa wachezaji ni Mzigo kwa KLABU.

Nyoni.
Boko.
Mkude.
Gadiel.
KIBU.
Kyombo.

Hawa ni TATIZO mno.
Katuni si mnamuita putin,huwa mnasifia wachezaji wenu wakati ni wabovu.
 
Kanoute humtaki na ile kazi pale anafanya na mzamiru huioni? Bocco kila siku humuoni? Rudi kwenye timu yako ya utopolo utuachie timu yetu
 
Kanoute humtaki na ile kazi pale anafanya na mzamiru huioni? Bocco kila siku humuoni? Rudi kwenye timu yako ya utopolo utuachie timu yetu


Muwe mnajifunza mpira.

Simba Ina TATIZO kumbwa miaka NENDA MIAKA RUDI Wana shida ya No 8.

Huwa wanakuwa na wakabaji wazuri mno.
Lwanga.
Kotei.
MATOLA.
Mkude nk.

Hapo kwenye no 8 ni TATIZO mno
 
Habari Wana jukwaa.

Nitaandika kwa KIFUPI Mno.

NIMPONGEZE muwekezaji Mohamed Gulam DEWJI kwa kuipeleka timu Dubai kwa maandalizi ya MICHEZO ya KLABU BINGWA na kujiweka tayari kwa LIGI KUU
Sijakuelewa... ila kwa wakristu tunaambiwa usitamani nyumba ya jirani yako wala mjakazi wake wala ngombe wake wala mke wakee... so tuacheni na Simba na Mo wetu
 
Kwa taarifa tu fupi ni kuwa

Jana Kibu mazoezini amefunga magoli 17 kwenye dakika 70 na kocha alimchagua kuwa mchezaji bora wa mazoezi.

Juzi kepteni bocco nae alifunga magoli 23 kwenye mazoezi na kocha akampa uchezaji bora.

Kwa hiyo wale wanaosema kibu na bocco waondoke basi waondoke wao maana kocha kawakubali kweli kweli wachezaji hao.


Soucre:Hemed Ally
 
Kanoute humtaki na ile kazi pale anafanya na mzamiru huioni? Bocco kila siku humuoni? Rudi kwenye timu yako ya utopolo utuachie timu yetu


Kanute anajua kucheza Mi rafu tu.

Tena nitumie kiswahili japo kigumu Ili unielewe.

1.Hawezi kupiga pasi.
2. Ni mzito kugeuka Hana Frexibility.
3. Hawezi kuichezesha timu compare to Aucho akiwa 8 yanga.
4. Ana hasira nyingi sana.
5. Anaongoza kwa KadI za njano.
6. Sio fundi kabisa yani.
7. Vichwa vinamshinda.
8. Mashuti hakuna

Kanute ni galasa ana mpa kazi ngumu sana Inonga
 
Huyu jamaa anamkomalia Boko utafikiri amemchukulia demu

Unaweza uzinzi tu.

Jitu limechoka linabebwa na chama.
Kumbuka msimu ULIOPITA 2021- 2022 wakati chama hayupo Boko Alikuwa na goli Moja 1. Tu msimu mzima
 
Masikini nyamazeni wenye timu wafanye itakavyowapendeza. Unawataja BOCCO, KANOUTE, eti wabovu, huoni wanachokifanya? Stpd
 
Kanute anajua kucheza Mi rafu tu.

Tena nitumie kiswahili japo kigumu Ili unielewe.

1.Hawezi kupiga pasi.
2. Ni mzito kugeuka Hana Frexibility.
3. Hawezi kuichezesha timu compare to Aucho akiwa 8 yanga.
4. Ana hasira nyingi sana.
5. Anaongoza kwa KadI za njano.
6. Sio fundi kabisa yani.
7. Vichwa vinamshinda.
8. Mashuti hakuna

Kanute ni galasa ana mpa kazi ngumu sana Inonga
Ww una chuki binafisi na kanouti sio bure acha uboya kanouti ni bonge la kiungo.
 
Kumbe wewe ni kenge tu, simba miaka yote ina shida ya namba nane yaani 8 seriously!!
Muwe mnajifunza mpira.

Simba Ina TATIZO kumbwa miaka NENDA MIAKA RUDI Wana shida ya No 8.

Huwa wanakuwa na wakabaji wazuri mno.
Lwanga.
Kotei.
MATOLA.
Mkude nk.

Hapo kwenye no 8 ni TATIZO mno
 
Back
Top Bottom