NIMR mko wapi?

NIMR mko wapi?

wakudadavuwa! taizo lako unadhani we are OBJECTS of Jiwe! ukijikamua na hapo, then ...

Wala sihisi mambo ya jiwe au weji. Umefirisika sana mkuu kama jina lako. Uko retired hata kwenye kufikiri. Kwanza umefunga mind yako. Kila kitu unaweka kisiasa na sio tu kisiasa Bali kisiasa Chenye majibu. Akisema mbowe hata ujinga utasema ok. Na the opposite is true. Mnaamka kutafuta kulaumu na kuattack. That’s a diseased mind and heart. You are not free and you will never be free. You and the like. You can not allow yourself to breath in FRESH AIR. You are rotten and the mind is coronized. Wake up it’s never too late to be positive.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂😂😂😂

Shame upon you! (mnisamehe) Mmeshindwa kufanya lolote as an Institution of medical research? Mnaleta boiled concoction of local herbs kuwa ndiyo utafiti wa COVID-19? PhD holders kweli? Hiyo waachie Babu wa Kikombe Loliondo, siyo nyinyi! Kwani bibi zenu kijijini hiyo ya kuchemsha miti shamba itamshinda? Si ndiyo wamekuwa wakifanya FROM TIME IMMEMORIAL, tangu dunia iwepo na mababu/mabibi zetu? Mna tofauti gani na bibi huko kijijini? We needed more scientifically based undertaking on these herbs, not mere boiling!

You need to revamp your research agenda. Nashauri kuwa you need strong collaboration with European/ US labs kuwatoa hapo mlipo. Tatizo ninaloliona mbele yenu ni baba mchukia "mabeberu" , sijui kama atawapa support ya ku- access labs hizo.

Acheni kuwa sample collectors for European /US labs, cooks with PCR machines, and the like!

NIMEANDIKA HAYA KWA NIA NJEMA KABISA AND NOT TO RIDICULE YOU! KAMA NIMEWAUDHI MNISAMEHE
 
Shame upon you! (mnisamehe) Mmeshindwa kufanya lolote as an Institution of medical research? Mnaleta boiled concoction of local herbs kuwa ndiyo utafiti wa COVID-19? PhD holders kweli? Hiyo waachie Babu wa Kikombe Loliondo, siyo nyinyi! Kwani bibi zenu kijijini hiyo ya kuchemsha miti shamba itamshinda? Si ndiyo wamekuwa wakifanya FROM TIME IMMEMORIAL, tangu dunia iwepo na mababu/mabibi zetu? Mna tofauti gani na bibi huko kijijini? We needed more scientifically based undertaking on these herbs, not mere boiling!

You need to revamp your research agenda. Nashauri kuwa you need strong collaboration with European/ US labs kuwatoa hapo mlipo. Tatizo ninaloliona mbele yenu ni baba mchukia "mabeberu" , sijui kama atawapa support ya ku- access labs hizo.

Acheni kuwa sample collectors for European /US labs, cooks with PCR machines, and the like!

NIMEANDIKA HAYA KWA NIA NJEMA KABISA AND NOT TO RIDICULE YOU! KAMA NIMEWAUDHI MNISAMEHE
Wanaleta siasa kwenye tafiti za kisayansi
 
NIMRI inachezs bits za nogmaals ya mtawala, mtawala anataka ushindi rahisi katika vita na NIMRI wametoa jibu rahisi.
 
Ku-revamp research agenda yao kivipi? Kwani wakati wanaset research agenda walijua kuna kirusi cha corona kitawavamia?...…….. Hao China wenyewe wamesanda itakuwa NIMR?
 
Ku-revamp research agenda yao kivipi? Kwani wakati wanaset research agenda walijua kuna kirusi cha corona kitawavamia?...…….. Hao China wenyewe wamesanda itakuwa NIMR?
Umewahi kwenda NIMR ukaona lab zao? Lab lazima iwe versatile kufanya research yoyote. Nilitegemea waje na active ingredient ya kila mmea..... get it characterized and then tested in mice or whatever method of testing its action on the virus.... kitu kama hicho, . Siyo kupika mitishamba kama mzee wKikombe.na kuweka sokoni eti ni dawa! National Institute for Medical Research, jina kubwa sana!..
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Shame upon you! (mnisamehe) Mmeshindwa kufanya lolote as an Institution of medical research? Mnaleta boiled concoction of local herbs kuwa ndiyo utafiti wa COVID-19? PhD holders kweli? Hiyo waachie Babu wa Kikombe Loliondo, siyo nyinyi! Kwani bibi zenu kijijini hiyo ya kuchemsha miti shamba itamshinda? Si ndiyo wamekuwa wakifanya FROM TIME IMMEMORIAL, tangu dunia iwepo na mababu/mabibi zetu? Mna tofauti gani na bibi huko kijijini? We needed more scientifically based undertaking on these herbs, not mere boiling!

You need to revamp your research agenda. Nashauri kuwa you need strong collaboration with European/ US labs kuwatoa hapo mlipo. Tatizo ninaloliona mbele yenu ni baba mchukia "mabeberu" , sijui kama atawapa support ya ku- access labs hizo.

Acheni kuwa sample collectors for European /US labs, cooks with PCR machines, and the like!

NIMEANDIKA HAYA KWA NIA NJEMA KABISA AND NOT TO RIDICULE YOU! KAMA NIMEWAUDHI MNISAMEHE
Slavery Mentality is upon you ass!!
 
Naanza kuelewa/kuwaelewa! Basi nisiwalaumu!
Unataka watu wafukuzwe kazi kwa kuwa professional kama ilivyotokea kwa naibu waziri wa afya? Mkuu anataka kusikia habari ya nyungu na mitishamba kwa hiyo kila mtu ndio anaitika hivyo kuokoa kibarua kisitokomee.

Hizi ni zama za mambo kienyeji enyeji na matamko ya jukwaani.
 
Umewahi kwenda NIMR ukaona lab zao? Lab lazima iwe versatile kufanya research yoyote. Nilitegemea waje na active ingredient ya kila mmea..... get it characterized and then tested in mice or whatever method of testing its action on the virus.... kitu kama hicho, . Siyo kupika mitishamba kama mzee wKikombe.na kuweka sokoni eti ni dawa! National Institute for Medical Research, jina kubwa sana!..
Siku ukibarehe kwenye akili yako utaelewa!!
 
Mimi sidhani kama ni elimu; tatizo ni hivyo vitendea kazi vipo vya kutosha hata watu wajikite kufanya utafiti? matokeo yake akili za wataalam wetu zinadumaa!
Siku zote tunatupia sana lawama vitendea kazi, lakini tukumbuke pia vitendea kazi ni zao la elimu. Anyway, binafsi naona tatizo ni mfumo wa maisha tuliochagua. NIMR ina watu wa kutoka nchi gani hadi wao wawe na mawazo na mitazamo tofauti na sisi Watz wengine!? Wahadhiri wa vyuo vikuo, baadhi ya mawaziri, wabunge, nk wamesoma, tena wapo waliosoma katika vyuo na nchi tunazoziamini kabisa; lakini ni nani hajaufyata na kucheza na mdundo wa ngoma inayopigwa na mtu mmoja tu kwa sasa!? Ni kweli Watz wote tunaamini mtu mmoja tu ndiye mwenye maono ya kila kitu? Mihimili yote ya nchi kaishika na kuagiza ifanye atakavyo, mwisho wa yote hata taasisi kama hiyo NIMR amabyo ilitakiwa ifanye mambo kwa utaalamu nazo zinakosa hiyo nguvu. Wasomi ambao hawajaajiriwa na serikali, huku mitaani, nao wanaufyata na kuimba wimbo, sembuse NIMR (waajiriwa wa serikali)!! Retired unaweza kuta wewe wala si muajiriwa wa serikali, na una elimu nzuri tu, lakini hujawahi (hata kwenye page yako ya facebook) tu kuweka mawazo tofauti na ya serikali! Hapo tunawezaje kuwasema NIMR! Binafsi naona nchi yote inahitaji mapinduzi makubwa ya kimfumo. Ile siku watz tutapata akili na kusema hatutaki kuongozwa namna hii, tunataka huyu awe na uwezo wa kufanya hivi, na huyu asimuingilie yule kwenye ufanyaji kazi wake, na kwa vile haingiliwi akikosea tutamuwajibisha hivi nk. ndipo tutaweza kuwasema NIMR, vyuo vikuu, watumishi wa umma, askari polisi, nk.
 
Uko sawa kabisa hawa jamaa miaka yote tumekuwa nao hatujawahi sikia wametengeneza dawa itokanayo na mimea dawa kwa ajili ya hata kikohozi. Suddenly out of pressure they come up with anti-Covid-19. JOKE!!!
 
Uko sawa kabisa hawa jamaa miaka yote tumekuwa nao hatujawahi sikia wametengeneza dawa itokanayo na mimea dawa kwa ajili ya hata kikohozi. Suddenly out of pressure they come up with anti-Covid-19. JOKE!!!
Ndiyo wamezinduka.... Tuwapongeze hata kwa hili. Sasa waongeze bidii zaidi katika kufanya utafiti wa dawa za chanjo na tiba za magonjwa mbalimbali
 
Siasa inapoingilia hadi mfumo wa taaluma tegemea hayo mambo, a lot of scientists wapo frustrated na namna mambo yanavyoendeshwa kwenye taasisi zao, at the end wanaona hata kutumia akili zao ni kupoteza muda. Wanabaki kufikiri kinyungu nyungu tu ili mradi siku zinaenda.....
 
Back
Top Bottom