NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

Ok, clarify.
Kwahiyo hizo ndizo kazi NIMR imefanya tangu 1980?
  1. Hakuna tangible product waliyogundua ikaingia kwenye soko la tiba
  2. Hakuna medical procedure mpya waliyoigundua ikaingia kwenye mfumo wa tiba kwenye mahospitali yetu
  3. Hakuna changamoto ya tiba waliyotatua, wanazunguka tu kugawa dawa za matende na mabusha zilizofanyiwa utafiti nchi nyingine tangu zamani za kale
  4. Hakuna ujuzi mpya waliogundua usaidie madaktari na manesi wetu katika kazi zao. Hivi katika vyuo vya madaktari, manesi na wafamasia vilivyoko nchini, kuna kitu gani angalao hata mada moja tu wanayofundishwa ambayo imegunduliwa NIMR? Watu mko busy kugawana perdiems halafu mnaita "capacity building", feki tu.
Jibu hoja kwa hoja, acha kulalama
 
Wewe kweli nutcase, unafikiri Marekani ni wazungu tu! Mmekaririshwa propoganda mpaka vichwa vimebaki kama mifuko ya kubeba meno tu.
Haya waangalie Mugabe, Kagame, M7 ,Gaddafi na Kinjikitile.
Hizo Styles zenu za wakina Kinjekitile zingekuwa zinawachanganya maadui mngebaki mafukara miaka 60 baada ya uhuru huku hao "wazungu" wakijichotea mali tu.
 
bongo sasa hivi kila mtu ni msanii hata kama hajui bit(mazombi style)
 

Institute Profile​

Establishment and Mandate

The National Institute for Medical Research (NIMR) is a parastatal organization under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly, and Children (MoHCDGEC). NIMR was established by the Parliament Act No. 23 of 1979 and became operational in 1980; holding the following mandates:
    • To carry out and promote the carrying out of health research designed to alleviate disease among the people of Tanzania;
    • To carry out, and promote the carrying out of, medical research into various aspects of local traditional medical practices for the purpose of facilitating the development and application of herbal medicine;
    • In co-operation with the Government or any other person or body of persons, to promote, or provide facilities for, the training of local personnel for carrying out scientific research into medical problems;
    • To monitor, control and coordinate medical research carried out within Tanzania, or elsewhere, on behalf of or for the benefit of the Government of Tanzania, and to evaluate the findings of that research;
    • To establish a system of the registration of, and to register, the findings of medical research carried out within Tanzania, and promote the practical application of those findings for the purposes of improving or advancing the health and general welfare of the people of Tanzania;
    • To establish and operate systems of documentation and dissemination of information on any aspect of the medical research carried out by or on behalf of the institute;
    • Carry out, and promote the carrying out of, research and investigation into the causes and the ways of controlling and preventing the occurrence in Tanzania of particular diseases or a category of them;
    • In co-operation with the Government or any person or body of persons, carry out and promote the carrying out of, basic, applied, and operational research designated to provide effective measures for the control of diseases endemic in Tanzania.
Institute Profile – NIMR Tanzania
 
Katika haya yaliyoorodheshwa NIMR imefanya yepi na products zake zinatumika wapi? Tutajie katika kila lengo lililoorodheshwa hapo nini kimefanyika na sio zile blah blah za kudesa
 
Hiki kweli ni kituko, Ni Tanzania pekee
 
Naona kuna ligi mbili hapa ... Yangu macho .. ila si sahihi kuifuta hii taasisi badala yake waweke watu sahihi .. (Medical Research ) inahitaji medical people sio sociologists waliojazana pale ...
 
Hapo namba 3 utakuwa unakosea sana.Kwa Tanzania mtu bora ni yule mwenye elimu kubwa mfano PhD. Huyu anaweza kufanya chochote bila kuhojiwa.

Hata kama kazi ya kukamua maziwa ingekuwa na mshahara mkubwa sana,angetakiwa kufanya mtu mwenye PhD.Sasa watashindwa nini kufanya kazi NIMR
 
hamna kitu kama hiko. research huwa inaanzishwa na taasis yenyewe. halaf wanatafuta wadau wa ku support.
wale ni support tu, sio ku control nn wafanye.

Ni taasis yenyewe haiko vizuri ndio maana.
Inaelekea haujui kitu eneo hilo
 
Wataalam wa Muhimbili wangepata dawa ya korona?
 
Nisome kwa utulivu, pesa inayotengwa kwa ajili ya utafiti hairidhishi, nenda COSTECH kawaulize kama wamepata pesa kiasi gani kwa ajili ya shughuli za utafiti. Medical research zinahitaji pesa nyingi na miaka mingi zimekuwa zinapata support ya wazungu ambao na wenyewe wana agenda zao hasa kupata sampuli/takwimu. Innovative medical researches mara nyingi zinafanyika kwenye maabara za mabeberu. Jambo lingine medical research inaweza isije na matokeo tarajiwa ndo maana zinahitaji muda, pesa nyingi na commitment, hadi ku-pin down technological innovation au kutengeneza aina mpya ya dawa, aina mpya ya chanjo na vifaa tiba inahusisha ku-review kazi za researchers wengine waliofanya kitu kinachofanana na huo utafiti na inaweza kuchukua miaka mingi, hata 30 kupata breakthrough.......

Sekta binafsi ku-drive research wao ndo wanajua wanahitaji kitu gani, mfano labda wanahitaji aina mpya ya dawa ya kutibu kansa, wao ndo watapeleka hilo wazo kwenye taasisi husika na pesa ambayo wapo tayari kugharamia ili huo utafiti ufanyike kwa mafanikio, then taasisi itatangaza kwa watafiti waweze kuandika proposal zao kufuatana na malengo ya kampuni inayogharamia huo utafiti. Kuna jamaa anawaponda medical researchers wa NIMR eti wanafanya simple surveys, unataka wafanye complex medical researches kwa vibajeti vya milion 10.

Tatizo lenu mangwini mnafikiri scientific researches ni sawa na kusoma story za mtemi mirambo na chifu mangungo wa msovero. Watafiti wanatakiwa kutumiwa kwa kuwapa bajeti ya kutosha ili waweze hata kulala maabara, siyo mnawalipa mshahara kiduchu hawana hili wala lile na wenyewe wanakata tamaa maana hawana motivations zozote, wanaona viongozi na wanasiasa ndo wananepeana mashavu kwa kula bata. Sasa magonjwa kama covid yakitokea ndo mnaanza kuwatafuta hao NIMR, pambaneni tu na hali zenu, nyie si mnakula vinono hamuwezi kuugua, utafiti gharama...na bado.
 
Tatzo la NIMR ni kutokukubali kuendana na wakati yani kwenye upigaji ndo wako vizuri hasa kwenya uendeshaji wa miradi ya malaria, kichocho, na matende hapo huwa ni kula hela tu, ila kwenye tafti ni blaa blaa tu

Nijuavyo, programmatic activities za malaria zipo chini ya NMCP na hizo za matende na kichocho zipo chini ya NTDCP. Hivyo ni vitengo vya wizara ya Afya, na siyo NIMR. Hivyo kusema NIMR wanatuma pesa za miradi ya malaria na matende ni sababu ya kutofahamu ukweli. Yaani ni kama mtu kasimuliwa tu kama vile tunavyosikia mitandaoni kuwa barakoa za kutoka nje ya nchi zona virusi vya korona na sisi tukavalia njuga
 
Naona kuna ligi mbili hapa ... Yangu macho .. ila si sahihi kuifuta hii taasisi badala yake waweke watu sahihi .. (Medical Research ) inahitaji medical people sio sociologists waliojazana pale ...
Issue si watu sahihi. Watu sahihi naamini wapo, unless uwe na uhakika kuwa hawapo. Je, taasisi imewezeshwa kiasi gani kufanya tafiti zenye kuleta matokeo mnayoyataka? Je, mwenye taasisi yeye anataka matokeo gani na ameyagharamia kiasi gani? Matokeo makubwa hayawezi kuja kwa kuyatamani tu.
 
okay.. ww unaejua? nieleze we unajua nini?
Unaanzishaje research bila pesa? Wadau wa kusupport ninaamini unamaanisha funding agencies. Kama ni hao, basi wao hucirculate calls for funding opportunity, na zinakuwa zinasema wanataka kutoa pesa kwenye tafiti za uelekeo fulani. Ni jukumu lako kupima interests zako na competency individually au kitaasisi kisha kupambana na applicants wengine duniani au nchini au kwenye ukanda kulingana na scope. Kumbuka hapo idea ya proposal utakayoshindsnisha lazima iwiane na vigezo wenye fedha walivyotoa. Kama mkiona havifai, hamlazimishwi ku apply.

Kifupi, iambieni serikali na wadau wengine wawekeze kwenye tafiti za kipaumbele badala ya kutaka tu NIMR ifutwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…