Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch

Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch

Kweli kabisa, mgongano wa maslahi ndiyo chanzo kikubwa cha upendeleo, fitina, ubabe, n.k.... With regard to systems in Tanzania, seems like everywhere you go, you gon'meet the same M&*^%"f%rs!!

How small are our judiciary, policing, regulatory systems?! I'm gutted man! It is really depressing me, you couldn't do an investigative work without finding same blood-sucking traits...tentacles of these creatures spread everywhere but belong to the same gene pool! They're really haunting our Nation! Unajua nini, labda tuweke vitunguu saum na kwato za nguruwe milangoni ili yasituingilie tu! But I bet my last dime, they'll be there too!

SteveD.

From: http://www.jamboforums.com/showthread.php?p=55284&highlight=tentacles#post55284
 
Majita
Niweke sawa . Majuzi nimepita pale Magorombe , Busegwe na maeneo kadhaa nimekuta kachonga barabara nakujenga shule ua chief nani sijui . Kapendelea wazanaki na nyie kuwaacha ama lile ni eneo gani ? Maana watu wa jimbo lake wanamwita Mbunge wa Mkoa wewe unasemaje ? Nimepita jimboni kwake na hata nikalala pale Busegwe Parokia ya Zanaki pale Magorombe nikiwa naangalia maendeleo yake kumbe ni nusu tu ?

Unazungumzia Ile shule ya Chifu Ihunyo(girls) na Chifu Wanzagi(boys)? unawajua wafadhili wa ile Project?

Jeetu Patel
Mustafa Rashid
Subhash Patel
Armiit Gaewal
Yogesh Manek
Mahesh Patel

Wananchi nao wameshiriki sana kwenye kufyatua matofali na kuleta kokoto za ujenzi, hao waungwana hapo juu walitoa michango tofauti tofauti.

Lakini kusema kweli Mkono kajitahidi sana kujenga shule jimboni kwake sema zote kazijaza huko mitaa ya Uzanaki.
 
Unazungumzia Ile shule ya Chifu Ihunyo(girls) na Chifu Wanzagi(boys)? unawajua wafadhili wa ile Project?

Jeetu Patel
Mustafa Rashid
Subhash Patel
Armiit Gaewal
Yogesh Manek
Mahesh Patel

Wananchi nao wameshiriki sana kwenye kufyatua matofali na kuleta kokoto za ujenzi, hao waungwana hapo juu walitoa michango tofauti tofauti.

Lakini kusema kweli Mkono kajitahidi sana kujenga shule jimboni kwake sema zote kazijaza huko mitaa ya Uzanaki.


kajitaidi gani?? si hela zetu tu alichota BOT? HIYO orodha ya walio changia mafisadi tupu!!!

wacha nikalale zangu make nasikia na kajazba kananipanda nisije waza mabaya bure!
 
Unazungumzia Ile shule ya Chifu Ihunyo(girls) na Chifu Wanzagi(boys)? unawajua wafadhili wa ile Project?

Jeetu Patel
Mustafa Rashid
Subhash Patel
Armiit Gaewal
Yogesh Manek
Mahesh Patel

Wananchi nao wameshiriki sana kwenye kufyatua matofali na kuleta kokoto za ujenzi, hao waungwana hapo juu walitoa michango tofauti tofauti.

Lakini kusema kweli Mkono kajitahidi sana kujenga shule jimboni kwake sema zote kazijaza huko mitaa ya Uzanaki.

Icadon,

Kuna story usukumani kuwa memba wa familia ya william(son) au mwakilishi wao alipofika Mwadui, alikuta wazee wa kisukuma wakitumia mawe ya almasi kucheza bao (sina hakika sana na source ya hii story). Alichofanya yeye ni kuwapatia hao wazee gololi na vitu vingine kama nguo, tumbaku kidogo na wao wakampatia almasi.

The same game iliendelea mpaka muda si mrefu familia hiyo ikawa ndio mmiliki mkubwa wa mgodi huo mkubwa kabisa wa almasi huko Mwadui. Hii story iwe kweli au ya uongo, ukichukulia alichofanya Karl Peters au wanachofanya Barrick ndicho anachofanya Mkono.

Anakwiba mabilioni ya pesa, yeye anatumia vimilioni vichache kujengea watu shule na wanazidi kumpa nafasi (ubunge) ya kuiba zaidi. Mimi sina sifa na chochote anachofanya Mkono na huyu mtu anahusika kwenye schemes nyingi sana za kuiibia serikali na pesa yake inanuka kama pesa Buzwagi na Karl Peters.
 
Alichofanya yeye ni kuwapatia hao wazee gololi na vitu vingine kama nguo, tumbaku kidogo na wao wakampatia almasi.


Mkuu Heshima mbele, mkuu hauko mbali na ukweli kwamba wazungu walipokuja walikuwa na Biblia mikononi, the next thing sisi wabongo tumeshikilia zile Biblia, wao wamechukua ardhi yetu, inaonekana pamoja na elimu yote tuliyonayo wabongo, mambo bado mpaka leo hayajabadilika maana haijatusaidia kitu chochote, maana wazungu sasa wamekaa pembeni tunajiibia wenyewe kwa wenyewe, huku tukishikishana chuma chenye moto, yaani mwenge wa uhuru!
 
Icadon,

Kuna story usukumani kuwa memba wa familia ya william(son) au mwakilishi wao alipofika Mwadui, alikuta wazee wa kisukuma wakitumia mawe ya almasi kucheza bao (sina hakika sana na source ya hii story). Alichofanya yeye ni kuwapatia hao wazee gololi na vitu vingine kama nguo, tumbaku kidogo na wao wakampatia almasi.

The same game iliendelea mpaka muda si mrefu familia hiyo ikawa ndio mmiliki mkubwa wa mgodi huo mkubwa kabisa wa almasi huko Mwadui. Hii story iwe kweli au ya uongo, ukichukulia alichofanya Karl Peters au wanachofanya Barrick ndicho anachofanya Mkono.

Anakwiba mabilioni ya pesa, yeye anatumia vimilioni vichache kujengea watu shule na wanazidi kumpa nafasi (ubunge) ya kuiba zaidi. Mimi sina sifa na chochote anachofanya Mkono na huyu mtu anahusika kwenye schemes nyingi sana za kuiibia serikali na pesa yake inanuka kama pesa Buzwagi na Karl Peters.

He he vijijini huko watu wanacheza bao na mawe ya thamani mpaka leo, mfano mzuri kwa kina Cheyo huko.

Kuhusu Mkono, nadhani anajaribu kufuata nyayo za CD unakwiba alafu unapeleka kidogo kwenu tofauti na wale wanaojenga Mijumba Mauritius, Durban, US na kwingineko.Mwisho wa siku atahukumiwa kama mwizi wa mali za umma.
 
Kwa kawaida wazungu huwa wanamuogopa nigger waliyemsomesha, isipokuwa sisi wabongo tu wametusomesha na hawatuogopi tena ndio kwanza wanatuibia zaidi kuliko tulipokuwa hatuna elimu!
 
Mkuu Heshima mbele, mkuu hauko mbali na ukweli kwamba wazungu walipokuja walikuwa na Biblia mikononi, the next thing sisi wabongo tumeshikilia zile Biblia, wao wamechukua ardhi yetu, inaonekana pamoja na elimu yote tuliyonayo wabongo, mambo bado mpaka leo hayajabadilika maana haijatusaidia kitu chochote, maana wazungu sasa wamekaa pembeni tunajiibia wenyewe kwa wenyewe, huku tukishikishana chuma chenye moto, yaani mwenge wa uhuru!

Nakwambia,

walianza waarabu wakaja na Quran, the next thing you hear, ni watu wakifuatwa hadi Kigoma kwenda kuuzwa biashara ya utumwa. wakaja wazungu na biblia wao wakaanzisha kabisa na makazi hapa na kuita kila wanachokiona majina yao.

Leo tunaibiana na kuuana kwa misingi ya dini (sudani) na ukabila ambao hawa wakoloni waliupigia debe (rwanda).
 
Kwa kawaida wazugnu huwa wanamuogopa nigger waliyemsomesha, isipokuwa sisi wabongo tu wametusomesha na hawatuogopi tena ndio kwanza wanatuibia zaidi kuliko tulipokuwa hatuna elimu!

Wazungu wa marekani ndio wanaogopa nigger aliyesoma kutokana na paranoia zao wenyewe. Wazungu wa ulaya wanapenda mtu aliyesoma maana yeye ataiba kisomi na hakuna atakayekufa in the process.
 
Wazungu wa ulaya wanapenda mtu aliyesoma maana yeye ataiba kisomi na hakuna atakayekufa in the process.


Mkuu kina Balali, Yona, Karamagi, Mkapa, Mkono, Mramba, Mgonja, Meghji, hawa si wamesoma Europe, yaani kweli hujui ni wananchi wangapi, hasa watoto, vizee na vilema wamekufa kutokana na wizi wao hao wakuu wetu?

Tena Karamagi amesoma Urusi, mimi sijawahi kusikia mtu aliyesoma huko anakuwa fisadi!
 
]


Mkuu kina Balali, Yona, Karamagi, Mkapa, Mkono, Mramba, Mgonja, Meghji, hawa siwamesoma Euorope, yaani kweli huji wananchi wangapi, hasa watoto, vizee na vilema wamekufa kutokana na wizi wao mkuu?

No sikumaanisha kufa kwa waafrika maana wazungu hawajali kabisa ni waafrika wangapi wanakufa. Nimemaanisha wazungu wangapi watakufa in the process.

Mwanzoni wazungu wa ulaya walijaribu kuiba kwa lazima mali za waafrika (ukoloni) mpaka walipogundua kuwa wengi wao wanakufa in the process. Sasa hivi wamehamia kwenye wizi wa aina ya pili ambao wao wanatumia wasomi hao uliowataja kuiba mali na kuzipeleka ulaya (mfano account za uswiswi) bila ya mzungu hata mmoja kufa in the process.
 
Sinuii kupendekeza kuwa nawachukia wahindi, ila ninapenda kusema ninawachukia wale wahindi wanaotunyonya na kutorosha rasilimali zetu...kina Jeetu, Kotak, Vhalambia na wengine woote wenye pasi za kusafiria za Tanzania, Uingereza, Canada, India and who knows elsewhere.

Mkono alitumia ujanja na akili yake kupata fedha akiwatetea matajiri, wakiwemo hawa watu ambao Mtikila aliwaita magabacholi. Kitu cha kustaajabia, ni jinsi Mkono, pamoja na elimu na utajiri wake, alivyotawaliwa na tamaa na ubinafsi. Katika sakata hili ambalo yeye mwenyewe ana interest kubwa kwani anahusika kwa namna moja au nyingine na ufisadi wa Ballali na wengine, Mkono hakuwa na chembe ya soni pale alipotamka kuwa anataka kumtetea Ballali.

Ni kweli, Ballali ana haki ya kupata wakili yoyote atakayemtetea vizuri. Ni kweli pia Mkono kama wakili, ana uhuru wa kujitangaza ili apate mlo. Kitu kinachonisumbua ni kuwa mosi, Mkono ni mhusika katika ufisadi huu na pili yeye ni mtunga sheria (mbunge).

Nikianzia na jambo la pili, inawezekana kuwa si makosa ya Mkono kuwa mwanasheria na pia kuwa mtunga sheria. Hii ni kutokana na matundu ya kasoro ya katiba yetu na Mkono (asivyo na soni) ana take advantage to the fullest. Hii si kwa Mkono pekee, kuna wabunge wengi ambao bado wana maintain biashara wakiwa waendeshaji wa biashara hizo (kama Mzindakaya) wakati wangali wabunge. (By the way, Mwanakijiji, naamini Jaji Mkuu alistaafu jeshini miaka michache iliyopita kabla hajawa JM).

Namsifu Mkono kwa kuwa bepari lakini namlaani kwa kutumia vibaya elimu yake ya sheria katika kujilimbikizia mali. Huyu bwana hakuwa akifurukuta wakati wa mwalimu. Kweli alikuwa ni wakili mkubwa lakini udhalimu wake haukuwa na nafasi. Hata wakati wa mzee Ruksa, ufisadi haukuwa wa waziwazi. Lakini kundi lake likiongozwa na BWM limekuwa sawa tu na hawa magabacholi na hawamjali Mtanzania wa kawaida.

Kwa mtaji huu wa Mkono, kweli umethibitisha jinsi CCM ilivyo ya kidhalimu. Huyu bwana ni kiongozi wa CCM; ameshiriki kuliibia taifa na anataka kutetea kile ambacho kilimkasirisha hata Mwenyekiti wake. Kwa upande wangu, nasubiri tu nisikie huyu Mkono akiitwa kuadabishwa na NEC katika kile kinachoitwa nidhamu ya chama. Lakini sintoshangaa kama hili likitokea kwani CCM kimejaa mafisadi na lengo lao ni kulindana!

Pia kuna uwezekano wa kuwa Mkono si kwamba anamtetea Ballali kama Mkono, bali kama mshiriki wa ule mtandao maarufu wa Fahali Mkuu ambapo hata jaji atakayehusika atakuwa ni Fahali Mkuu and Ballali will walk!
 
Majita
Niweke sawa . Majuzi nimepita pale Magorombe , Busegwe na maeneo kadhaa nimekuta kachonga barabara nakujenga shule ua chief nani sijui . Kapendelea wazanaki na nyie kuwaacha ama lile ni eneo gani ? Maana watu wa jimbo lake wanamwita Mbunge wa Mkoa wewe unasemaje ? Nimepita jimboni kwake na hata nikalala pale Busegwe Parokia ya Zanaki pale Magorombe nikiwa naangalia maendeleo yake kumbe ni nusu tu ?

Nashukuru Icadon kajibu vizuri sana hata hivyo bado kuna kitu kinaachwa.Ndugu Lunyungu ukitembelea Majita (achana na huku juu Uzanakini) ndo utajua nini hasa namaanisha.Anzia kule kome,hadi bulagwa nenda hadi Chitare rudi huku bugunda endelea na safari uwatafute kina MUKONO ndo utajionea hali halisi.HUWEZI KUAMINI KUWA HUKO HADI MMEM kuna baadhi ya mashule hawakufikiwa.Mfano Bulinga s/m.

Wajita sasa wanampango na ni kama debate ya kugawa jimbo hilo.Watu wa huko juu wajitegemee na majita ibaki peke yake.MUKONO ana ufisadi wa "UBINAFSI". Hakuna alichowafanyia wajita fisadi huyo.Wewe fikiria eti hadi MMEM watu mnasahaulika,kuna cha mbunge hapo?
 
Unazungumzia Ile shule ya Chifu Ihunyo(girls) na Chifu Wanzagi(boys)? unawajua wafadhili wa ile Project?

Jeetu Patel
Mustafa Rashid
Subhash Patel
Armiit Gaewal
Yogesh Manek
Mahesh Patel

Wananchi nao wameshiriki sana kwenye kufyatua matofali na kuleta kokoto za ujenzi, hao waungwana hapo juu walitoa michango tofauti tofauti.

Lakini kusema kweli Mkono kajitahidi sana kujenga shule jimboni kwake sema zote kazijaza huko mitaa ya Uzanaki.
Icadon Mkuu wangu,
Hapa ukijumlisha moja na moja unapata jibu kuwa ni mbili.Angalia tena hiyo orodha ya waliomfadhili kujenga shule hizo badala ya kumpongeza utaona ni kama udhalilishaji tuu.
 
]


Mkuu kina Balali, Yona, Karamagi, Mkapa, Mkono, Mramba, Mgonja, Meghji, hawa si wamesoma Europe, yaani kweli hujui ni wananchi wangapi, hasa watoto, vizee na vilema wamekufa kutokana na wizi wao hao wakuu wetu?

Tena Karamagi amesoma Urusi, mimi sijawahi kusikia mtu aliyesoma huko anakuwa fisadi!

Tena Nasikia Karamagi ni injinia.ila Kibalagashia anapenda mambo ya kifisadi na inawezekana kaamua kutetea ufisadi, nilishawahi kusikia hata alishawahi kufanya wizi pale BOT miaka ya nyuma 1984 na anafanya hivyo kwa kuogopa Blala anaweza kusema hata yaliyofanyika miaka ya nyuma ili kuonyesha ubadhirifu wa khali ya juu
 
Lakini huyu si mfanyabiashara? Na anajua Balali anazo? Yeye anachangamkia tenda. Kwa mtaji wa dola 500 kwa saa, kesi ikiisha Balali atahamia Posta na kibakuli!
 
Kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni, Shetani hawezi kumuondoa shetani mwenzake.

Mifano hii ni halisi ukiangalia utaona inajichanganya sana lakini ukiangalia kwa undani ni kwamba huyu "Hand" ni kipofu hajui kwamba jamii itampinga hata kwenye mahakama za juu kwa kuogopa kuitenda haki jamii nzima, pili huyu namfananisha na shetani kwani analengo la kumuokoa shetani mwenzake katika janga ambalo yeye nae yumo.
 
Mkono anafikiri kuwa kesi ya BOT itahusiana na malipo ya EPA pekee na kumsahau kuwa ni miongoni mwa mafisadi walioiba pale BOT na yeye binafsi amejinufaisha kwa zaidi ya shilingi builion nane na zaidi kwwenye kesi moja ya Valambia ......

Mkono jua kuwa hata wewe kama kesi ikifunguliwa kwenye mahakama tutataka na wewe ushtakiwe kwa wizi na hapo utakosa sifa ya kumtetea huyo Balali wako ...

Nina shauku kubwa siku kesi ikifunguliwa kwani utakuwa ni mwanzo wa kuuanika ukweli hadharani na kwa kina zaidi.....
 
Back
Top Bottom