Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Mkuu..Kuna wengine hawana Akili TU za shule...Hata ungempeleka Feza..(Japo wasingemkubali)Kwa nini mnabeba sana watu? Na ww ulipata division 0? Kama haukupata, ni kwa nini yeye apate?
Inabidi watu muwe wakali. Ni uzembe tu na kutoweka juhudi. Mwambie sasa basi. HAUTAMSAIDIA TENA. AENDE KIJIJINI AKAKAE HUKO.
Akae huko hadi apate akili. Sasa hivi hata hajui anataka nini. Utampeleka VETA kupoteza hela zaidi na juhudi zako
Achana naye kwanza. Mpe hata miaka mitatu akue kiakili. Ajue maisha sio lele mama. Atambue akipata msaada asiufanyie mzaha. Atambue ni ninianakitaka maishani. Atafanya fanya kazi kuna moja ataipenda. Akikua kiakili ndio umsaidie