Mkuu mwenzio anasema dogo ana kichwa cha nazi yaani lile koroma kabisa! Sasa ataenda akasome tena ataweza?Then mpeleke arudie kidato usimpeleke veta tafadhali,
Tanzania hakuna sekta ilio vizuri sana ambapo muhitumu anakua competent.Workshop zenyewe zina vifaa vya kizamaniNa vijana wengi walioenda VETA wanakuwaga vilaza tu. Ujuzi wa kazi wanakuwa hawana. Inakuwa waliunguza tu hela ya wazazi.
Mara nyingine ni bora mtu afundishwe na fundi mwingine hata kama analipwa kidogo tu. Shida tena unakuta watu wengine wana roho mbaya na hataki kumfundisha mtu vizuri. Akipata kijana anataka am-abuse tu na sio kumsaidia.Tanzania hakuna sekta ilio vizuri sana ambapo muhitumu anakua competent.Workshop zenyewe zina vifaa vya kizamani
Mpeleke q.t akasome mwaka mmoja na arudue mtihaniHeshima kwenu wakuu.
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza. Nina mdogo wangu alifanya pepa ya form 4 mwaka jana (2020) lakini matokeo yametoka amepata Division Zero(0)
Nawezaje kumsaidia huyu mdogo wangu.
Ahsanteni.
Peleka chuo cha mafunzo ZanzibarHeshima kwenu wakuu.
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza. Nina mdogo wangu alifanya pepa ya form 4 mwaka jana (2020) lakini matokeo yametoka amepata Division Zero(0)
Nawezaje kumsaidia huyu mdogo wangu.
Ahsanteni.
Hongera mkuu .Ila hata hivyo akili za darasani umelazimisha sana mazeeNasoma coment nacheka sanaa almost wote mnaomshauri hamjawahi kupitia hiyo situation ndo maana kila mtu ana shauri lake labda niwambie kitu hakuna kitu kibaya kama kujiona au wewe mwenyewe kujiona umechelewa ktk maisha hakuna kuchelewa wala kuwahi katika maisha wakati wakupambania maisha yako binafsi mda wote ni sawa tu ili mradi uwe na afya njema tu.
Mimi ni mhanga mwa wahitimu ambao sikufanya vizuri o level unajua kwanini hata mimi sijui kwanini ? Nachojua nilisoma kwa juhudi na maarifa lakini mwisho nikaambulia cr 2 tu na masifuri kibao ni katupwa 4 ya mwisho kabisa so advance nisingeweza kwenda kabisa niende wapi sasa? Hata nilipomwambia mzee wangu hakukata wala hakukubali swala la kurudia au kutafuta taaluma nyingine unajua why? Aliniachia uwanja mpana nichague mwenyewe pakwenda na chakufanya . Nikawaza nikawazua lakini bado nikajiona sinachakufanya zaidi ya kukaa nyumbani sawa kukaa nyumbani hadi lini ?
Nikajiwazia bora nikasomee ufundi wa umeme hicho ndo nilikiona na kipenda lakini sikuwa na uhakika kama nakiweza nikamwambia wazo langu mzee hakupinga akaniuliza tu kuna mkakati mwingine siku za mbeleni au ndo ukitoka huko kwenye umeme ndo umemaliza nikamwambia bado ntakuwa na angalia uwezekana wakurudia pepa la 4 akasema powa akalipa ada nikawa nasoma pale cha ng'ombe Veta ..(electrical installation) trust me veta ni chuo kikubwa cha kukufamya ukue kiakili nimakutana na eatu wazima walionizidi miaka kibao darasa moja wako very serous nikaanza kuaddapt tabia zao za kuwa serous na maisha ni kila kitu unachokifanya watu wanafamilia zao wapo darasani duu! Hapo ni full maushauri tu ya kiutu uzima .
Kwa umri wa wale jamaa nikajiona bado sanaa mimi kusongesha kitabu nikachapa miaka miwili pale nikaondoka na grade 2 yangu safi kwa jinsi umeme ulivyo mgumu kwa theory masoma ya o level yakasome
Hapo ndo nikaona ngoja ni text kurudia pepa .mzee akasema poaa nikaanza twiti mwenge nikachukua masoma yote nilifali isipokuwa hesabu nikarudia kama PC nikasoma kwa fujo huku nafanya ishu zangi za umeme kumbuka kwanza na vihela vya kula kutokana vikazi vyangu vya mtaani si huduma ndogo ma kuomba omba hakupa nikapiga kitabu mwisho pepar nmatokeo nikapa cR mbili tena na mi f kibao kumbuka sikurudia yale masoma nilifauli so jamaa tukamasishana tupige advance sasa cr si ninazo nne tukaanza twiti tena ya nguvu kuja kutoboa nina 2 safii nikajiunga na chuo kwa pesa yangu 3yrs nikatoboa nikarudi kwenye ishu zangu za umeme hadi nilipopata ajira 2011 ndo kiaachana na shughuri za umeme nikaendelea na taaluma yangu ya chuo .hii ni story yangu ya kweli kabisa .nilichojifunza nikwamba baba aliniacha niamuwe mwenyewe kuhusu maisha yangu nami nikafanya kweli .asante baba asante marafiki wote tulistuggle pamoja kwa kupeana moyo.
Yanauzi sana mkuu...bora pesa yako ungesave hata kwa manufaa ya familiaHaya Matoto pasua kichwa kweli kweli! Mimi hapa nilijidai kuleta toto la dada lililoshindwa shule nikasema liende veta, tukaliuliza vizuri kabisa kwamba lingependa fani gani? Likachagua ufundi ujenzi, tukalilipia kila kitu kwenda chuo lilipokuta kuna kuingia darasani si likaanza utoro wa kijinga kijinga tu! Mara leo liende, kesho lisiende pumbavu kabisa! Wife kwa vile alikuwa ametoa hela yake kulilipia ada akaliwashia moto, khaaa, si likatoroka nyumbani eti shangazi mkali, pumbavu kabisa nikaliambia kwangu lisirudi tena!!
Doo hakuna koroma nakwambia, sema shule zetu tunazowapeleka madogo wetu na jitihada za wazazi kwenye kumpush kunachangia ufaulu na huwezi amini hilo koroma likafanya vzrMkuu mwenzio anasema dogo ana kichwa cha nazi yaani lile koroma kabisa! Sasa ataenda akasome tena ataweza?
VETA mkuu wako vizuri sana. Mimi kuna mpwa wangu mwingine ambaye naye kichwa ni nazi, lakini kule anaelewa anasoma ufundi umeme, sasa hivi kila akija likizo hapa mtaani ni kama mfalme! Hawa madogo wanaoshindwa ngeli ni kuwatupa huko angalau waokote ujuzi utawasaidia wakija kuwa wakubwa!Kama yeye anaamini hawezi amtafutie ujuzi wenye tija ,ila kwangu mie veta siiamini kabisa nimeshuhidia baadhi ya wanafunzi wa pale yaan hawana ndoto tena
Shida mie naona hata ujuzi unaopatikana huko Veta upo outdated, maana nina rafiki yangu ni mwalimu wa veta yeye pia ni koroma, hata msg akiandika mtihani yaan hajui kuandika vzr lkn ndio mwalimuVETA mkuu wako vizuri sana. Mimi kuna mpwa wangu mwingine ambaye naye kichwa ni nazi, lakini kule anaelewa anasoma ufundi umeme, sasa hivi kila akija likizo hapa mtaani ni kama mfalme! Hawa madogo wanaoshindwa ngeli ni kuwatupa huko angalau waokote ujuzi utawasaidia wakija kuwa wakubwa!
Kule mkuu asilimia kubwa ni kutenda! Unaweza kulikuta hilo koroma liko vizuri kwenye practical!Shida mie naona hata ujuzi unaopatikana huko Veta upo outdated, maana nina rafiki yangu ni mwalimu wa veta yeye pia ni koroma, hata msg akiandika mtihani yaan hajui kuandika vzr lkn ndio mwalimu
Sasa imagine anazalisha wahitimu wa aina gani
Mejinsia gani