Nimsaidiaje mhitimu wa kidato cha 4 alayepata Division Zero(0)?

Mkuu ni kweli kabisa vijana wengi wanachelewa kujitambua
 
jinsia gani
Yes waseme; maana mimi nataka kuajiri mabinti wawili waliomaliza kidato cha nne hapa home kuwasaidia wanangu h/w...maana mama yao kasafiri masomoni na mimi muda mwingi nachelewa kurudi home majukumu ya kazi.

Mshahara ni 120,000.
 
Shida mie naona hata ujuzi unaopatikana huko Veta upo outdated, maana nina rafiki yangu ni mwalimu wa veta yeye pia ni koroma, hata msg akiandika mtihani yaan hajui kuandika vzr lkn ndio mwalimu
Sasa imagine anazalisha wahitimu wa aina gani

Yes waseme; maana mimi nataka kuajiri mabinti wawili waliomaliza kidato cha nne hapa home kuwasaidia wanangu h/w...maana mama yao kasafiri masomoni na mimi muda mwingi nachelewa kurudi home majukumu ya kazi.

Mshahara ni 120,000.
Mkuu ni jinsia ya Kiume
 
Ajifunze financial literacy skills Aanze biasharaa awe na mindset ya kujiajiri na kuweza kujifunza fursa mbali mbali yan Aishi kidigitaliii then Aishii maisha halis ajifunze namna ya kuinvest kweny real estate .
 
Ajifunze financial literacy skills Aanze biasharaa awe na mindset ya kujiajiri na kuweza kujifunza fursa mbali mbali yan Aishi kidigitaliii then Aishii maisha halis ajifunze namna ya kuinvest kweny real estate .
Ahsante, ushauri mzuri
 
Ongea naye baada ya kumtoa out kama Upo Mza mpeleke malaika beach resort kama Upo dar viwanja utavijua bana kama Upo Arusha mpeleke sijui Grand melia.
Akishakula baya zote dunia hata kama 50k muweke dogo awe na furaha sana.
Kama anapenda Dada Poa mchukulie mmoja na zana avae apige kama Viwili atoe stress kabisa kichwani.
Afu muulize moyoni mwake kuwa ile sauti ya ndani inamwambiaaje kuwa ni yeye ni nani anapenda kuja kuwa kama nani.
Ndoto yake ama anajiona kwa nani
Mfano Mke Nilikuwa Najiona kwa bamdogo alikuwa akileta Magari yake ya mizigk ya dukani. Scania na tela zake kabila hazijaja semi.
So nilijiambiaga moyoni mwangu kuwa nikija kuwa mkubwa ni lazima nije niwe naleta mzigo Wa Fulani kama huyu mzee.
Sauti ya ndani INA mamlaka makubwa sana tena sana.
Nimesoma ila shule haimo moyoni mwangu mpaka muda huu naifanyia ndoto yangu kazi mana ndo furaha yangu.
Kuna muda Ulifika nikaresechi kutoa semi kama 5 tokea tanga cement mpaka Mza ni bei gani mana ni napenda nikaagiza mzigo hakuna ushindani wowote ule.
Nilipofikia uwezo huo nilijiona kama nimepumua kuwa nimemaliza safari yangu niliyokuwa naiwaza tokea nikiwa mdogo.
Yaani huwa nafurahi sana nikijona nikijaza mzigo hapo semi ama Fuso tandem naupeleka mahali Fulani nafurahi sana.
Hayo ni baada ya kuvumilia kufanya kazi ambazo hazipo moyoni mwangu.
Yaani ile kazi za ofisini unapangiwa namna ya kuvaa Mara uchomekee uvae tai.
Huwa Nakuona kama Niko utumwani.
Asubuhi yabidi uwahi kazi za watu whether or not.
So mie huwa najionaga kama ni utumwa mana ni kama Uko jeshini ambayo hata ukienda kukojoa yabidi uage unakuwa kama Mke Wa MTU ama MTT Wa shule. Andikeni majina mnaotaka kwenda shuleni.

Nb in your mind nimetoa case yangu iwe pia kama fundisho sana kwa vizazi sana na sio kujisifia jamani mana najua humu kuna kila aina ya akili.
Yaani nimesoma kisa Nina uwezo Wa kusoma na kufaulu ila shule haikuwepo kwenye ndoto zangu hata siku moja.
Lasita bro alikuwa ananifukuza niende shule ivyo ivyo ikatokea nikaizoea nikaipiga mana nikiwa nafanya kitu huwa sirembi nafanya kwa moyo mmoja to maximum ultimate power.
 
Heshima kwenu wakuu.

Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza. Nina mdogo wangu alifanya pepa ya form 4 mwaka jana (2020) lakini matokeo yametoka amepata Division Zero(0)

Nawezaje kumsaidia huyu mdogo wangu.

Ahsanteni.
Mtafutie kitu cha kufanya anachokiweza maana masomo kwa elimu ya kikoloni ni wazi sio fungu lake!
 
 
Nimpeleke akachukue ujuzi gani mkuu? Mnaweza nishauri na hapo.
Sasa yeye ndo aseme upi ujuz anautaka???? Sis htuwez sem mpeleke ujuz flan n sio fani ake. We kaa nae chin muhuliz nn kipo moyoni mwake. Mwambie awe huru chchte aseme.

Bcz anaweza kuwa anapenda ushonaji nguo akaogop kkuambia kisa utamuon boya aksema fundi umeme akaenda veta akfeli tena. Ko ushaur wangu we muhulize kirfiki n awe muaz apo ndo utopoteza ada ila ukimchgulia apo 90% ADA inaenda potea
 
Kuna maisha besides shule akiwa serious na kilimo na ufundi mdogomdogo (hasa wa kiume) utanishukuru ila akiwa wa kike ajirembe sana anaweza kuolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…