Mkuu ni kweli kabisa vijana wengi wanachelewa kujitambuaHaya Matoto pasua kichwa kweli kweli! Mimi hapa nilijidai kuleta toto la dada lililoshindwa shule nikasema liende veta, tukaliuliza vizuri kabisa kwamba lingependa fani gani? Likachagua ufundi ujenzi, tukalilipia kila kitu kwenda chuo lilipokuta kuna kuingia darasani si likaanza utoro wa kijinga kijinga tu! Mara leo liende, kesho lisiende pumbavu kabisa! Wife kwa vile alikuwa ametoa hela yake kulilipia ada akaliwashia moto, khaaa, si likatoroka nyumbani eti shangazi mkali, pumbavu kabisa nikaliambia kwangu lisirudi tena!!
Yes waseme; maana mimi nataka kuajiri mabinti wawili waliomaliza kidato cha nne hapa home kuwasaidia wanangu h/w...maana mama yao kasafiri masomoni na mimi muda mwingi nachelewa kurudi home majukumu ya kazi.jinsia gani
Shida mie naona hata ujuzi unaopatikana huko Veta upo outdated, maana nina rafiki yangu ni mwalimu wa veta yeye pia ni koroma, hata msg akiandika mtihani yaan hajui kuandika vzr lkn ndio mwalimu
Sasa imagine anazalisha wahitimu wa aina gani
Mkuu ni jinsia ya KiumeYes waseme; maana mimi nataka kuajiri mabinti wawili waliomaliza kidato cha nne hapa home kuwasaidia wanangu h/w...maana mama yao kasafiri masomoni na mimi muda mwingi nachelewa kurudi home majukumu ya kazi.
Mshahara ni 120,000.
😂😂😂😂harudi tena ila ingekua ke ungemuonaMkuu ni jinsia ya Kiume
Ahsante, ushauri mzuriAjifunze financial literacy skills Aanze biasharaa awe na mindset ya kujiajiri na kuweza kujifunza fursa mbali mbali yan Aishi kidigitaliii then Aishii maisha halis ajifunze namna ya kuinvest kweny real estate .
Huyo kazi sina kwa sasa !!Mkuu ni jinsia ya Kiume
Mtafutie kitu cha kufanya anachokiweza maana masomo kwa elimu ya kikoloni ni wazi sio fungu lake!Heshima kwenu wakuu.
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza. Nina mdogo wangu alifanya pepa ya form 4 mwaka jana (2020) lakini matokeo yametoka amepata Division Zero(0)
Nawezaje kumsaidia huyu mdogo wangu.
Ahsanteni.
Nasoma coment nacheka sanaa almost wote mnaomshauri hamjawahi kupitia hiyo situation ndo maana kila mtu ana shauri lake labda niwambie kitu hakuna kitu kibaya kama kujiona au wewe mwenyewe kujiona umechelewa ktk maisha hakuna kuchelewa wala kuwahi katika maisha wakati wakupambania maisha yako binafsi mda wote ni sawa tu ili mradi uwe na afya njema tu.
Mimi ni mhanga mwa wahitimu ambao sikufanya vizuri o level unajua kwanini hata mimi sijui kwanini ? Nachojua nilisoma kwa juhudi na maarifa lakini mwisho nikaambulia cr 2 tu na masifuri kibao ni katupwa 4 ya mwisho kabisa so advance nisingeweza kwenda kabisa niende wapi sasa? Hata nilipomwambia mzee wangu hakukata wala hakukubali swala la kurudia au kutafuta taaluma nyingine unajua why? Aliniachia uwanja mpana nichague mwenyewe pakwenda na chakufanya . Nikawaza nikawazua lakini bado nikajiona sinachakufanya zaidi ya kukaa nyumbani sawa kukaa nyumbani hadi lini ?
Nikajiwazia bora nikasomee ufundi wa umeme hicho ndo nilikiona na kipenda lakini sikuwa na uhakika kama nakiweza nikamwambia wazo langu mzee hakupinga akaniuliza tu kuna mkakati mwingine siku za mbeleni au ndo ukitoka huko kwenye umeme ndo umemaliza nikamwambia bado ntakuwa na angalia uwezekana wakurudia pepa la 4 akasema powa akalipa ada nikawa nasoma pale cha ng'ombe Veta ..(electrical installation) trust me veta ni chuo kikubwa cha kukufamya ukue kiakili nimakutana na eatu wazima walionizidi miaka kibao darasa moja wako very serous nikaanza kuaddapt tabia zao za kuwa serous na maisha ni kila kitu unachokifanya watu wanafamilia zao wapo darasani duu! Hapo ni full maushauri tu ya kiutu uzima .
Kwa umri wa wale jamaa nikajiona bado sanaa mimi kusongesha kitabu nikachapa miaka miwili pale nikaondoka na grade 2 yangu safi kwa jinsi umeme ulivyo mgumu kwa theory masoma ya o level yakasome
Hapo ndo nikaona ngoja ni text kurudia pepa .mzee akasema poaa nikaanza twiti mwenge nikachukua masoma yote nilifali isipokuwa hesabu nikarudia kama PC nikasoma kwa fujo huku nafanya ishu zangi za umeme kumbuka kwanza na vihela vya kula kutokana vikazi vyangu vya mtaani si huduma ndogo ma kuomba omba hakupa nikapiga kitabu mwisho pepar nmatokeo nikapa cR mbili tena na mi f kibao kumbuka sikurudia yale masoma nilifauli so jamaa tukamasishana tupige advance sasa cr si ninazo nne tukaanza twiti tena ya nguvu kuja kutoboa nina 2 safii nikajiunga na chuo kwa pesa yangu 3yrs nikatoboa nikarudi kwenye ishu zangu za umeme hadi nilipopata ajira 2011 ndo kiaachana na shughuri za umeme nikaendelea na taaluma yangu ya chuo .hii ni story yangu ya kweli kabisa .nilichojifunza nikwamba baba aliniacha niamuwe mwenyewe kuhusu maisha yangu nami nikafanya kweli .asante baba asante marafiki wote tulistuggle pamoja kwa kupeana moyo.
Sasa yeye ndo aseme upi ujuz anautaka???? Sis htuwez sem mpeleke ujuz flan n sio fani ake. We kaa nae chin muhuliz nn kipo moyoni mwake. Mwambie awe huru chchte aseme.Nimpeleke akachukue ujuzi gani mkuu? Mnaweza nishauri na hapo.