Mzee wa fact
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 246
- 228
Ipo hivi nilikuwa penzini na demu fulani hivi lkn mwaka Jana katikati tuliachana kimyakimya baada ya kustukia mauzauza kwenye simu yake so kila mtu akajua mambo yake lkn tuliendelea kuwa friends na Salam fupifupi
Kanzia mwezi Novembea mwaka Jana akawa anazidisha mawasiliano na kuomba turudie game nilimhoji vipi kipindi ambacho hatukuwa pamoja hukuwa na mtu? Akanijibu alikuwa naye lkn wameachana so aliendelea kuomba tukumbushie mechi nikawa namzuga zuga
Wiki iliopita akanitext akanambia naomba unisamehe kwa nitakayokueleza, nikamuambia usijali ongea tu..., akanambia amebeba ujauzito wa jamaa aliyekuwaga naye halafu jamaa katimka na simu hapokei na yeye hali yake ni ngumu hata pesa ya kula inamshinda hivyo ameomba nimsaidie kutoa mimba.
Naombeni ushauri wenu nimsaidie au nikaushe.
Kanzia mwezi Novembea mwaka Jana akawa anazidisha mawasiliano na kuomba turudie game nilimhoji vipi kipindi ambacho hatukuwa pamoja hukuwa na mtu? Akanijibu alikuwa naye lkn wameachana so aliendelea kuomba tukumbushie mechi nikawa namzuga zuga
Wiki iliopita akanitext akanambia naomba unisamehe kwa nitakayokueleza, nikamuambia usijali ongea tu..., akanambia amebeba ujauzito wa jamaa aliyekuwaga naye halafu jamaa katimka na simu hapokei na yeye hali yake ni ngumu hata pesa ya kula inamshinda hivyo ameomba nimsaidie kutoa mimba.
Naombeni ushauri wenu nimsaidie au nikaushe.