Nimsaidie atoe mimba au nikaushe

Nimsaidie atoe mimba au nikaushe

Mzee wa fact

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
246
Reaction score
228
Ipo hivi nilikuwa penzini na demu fulani hivi lkn mwaka Jana katikati tuliachana kimyakimya baada ya kustukia mauzauza kwenye simu yake so kila mtu akajua mambo yake lkn tuliendelea kuwa friends na Salam fupifupi

Kanzia mwezi Novembea mwaka Jana akawa anazidisha mawasiliano na kuomba turudie game nilimhoji vipi kipindi ambacho hatukuwa pamoja hukuwa na mtu? Akanijibu alikuwa naye lkn wameachana so aliendelea kuomba tukumbushie mechi nikawa namzuga zuga

Wiki iliopita akanitext akanambia naomba unisamehe kwa nitakayokueleza, nikamuambia usijali ongea tu..., akanambia amebeba ujauzito wa jamaa aliyekuwaga naye halafu jamaa katimka na simu hapokei na yeye hali yake ni ngumu hata pesa ya kula inamshinda hivyo ameomba nimsaidie kutoa mimba.

Naombeni ushauri wenu nimsaidie au nikaushe.
 
Ipo hivi nlikuaga penzin na demu flani hivi lkn mwaka Jana katikati tuliachana kimyakimya baada yakustukia mauzauza kwenye simu yake so kila mtu akajua mambo yake lkn tuliendelea kua friend na Salam fupifupi lkn kuanzia mwez November mwaka Jana akawa anazidisha mawasiliano na kuomba turudie game nlimhoji vp kipindi ambacho hatukua p1 hukua na mtu?akanijibu alikua nae lkn wameachana so aliendelea kuomba tukumbushie mechi nkawa namzugazuga sasa twende kwenye mada wiki iliopita akanitext akanambia naomba unisamehe kwa ntakayokueleza nkamuambia usijali ongea tu,akanambia amebeba ujauzito wa jamaa aliekuwaga nae alafu jamaa katimka na simu hapokei na yeye hali yake ni ngumu hata pesa ya kula inamshinda hivyo ameomba nimsaidie kutoa mimba
Naombeni ushauri wenu nimsaidie au nikaushe
Mkamatishe polisi,hilo ni kosa kishera
 
Ipo hivi nlikuaga penzin na demu flani hivi lkn mwaka Jana katikati tuliachana kimyakimya baada yakustukia mauzauza kwenye simu yake so kila mtu akajua mambo yake lkn tuliendelea kua friend na Salam fupifupi lkn kuanzia mwez November mwaka Jana akawa anazidisha mawasiliano na kuomba turudie game nlimhoji vp kipindi ambacho hatukua p1 hukua na mtu?akanijibu alikua nae lkn wameachana so aliendelea kuomba tukumbushie mechi nkawa namzugazuga sasa twende kwenye mada wiki iliopita akanitext akanambia naomba unisamehe kwa ntakayokueleza nkamuambia usijali ongea tu,akanambia amebeba ujauzito wa jamaa aliekuwaga nae alafu jamaa katimka na simu hapokei na yeye hali yake ni ngumu hata pesa ya kula inamshinda hivyo ameomba nimsaidie kutoa mimba
Naombeni ushauri wenu nimsaidie au nikaushe
Kausha.
 
Never kushiriki dhambi ya mauaji... Haki ya kuishi nitoka siku mimba imetungwa... Unaweza mshauri apuuze mauaji..utapata thawabu... Msaidie kulea au muepuke baada ya kumshauri.
 
Sasa mdogo wangu mbona hayo ni maamuzi mepesi sana...Sasa kama ulimudu kufanya uamuzi wa kiume wa kumpiga chin kimya kimya bila fujo (uliufanya uamuz ki gentleman kabisaa) unashindwaje kuamua hata hili jepesi?? Tunachoka kuwaamulia mambo yenu daily...TUMIA AKIL basi
 
Ipo hivi nlikuaga penzin na demu flani hivi lkn mwaka Jana katikati tuliachana kimyakimya baada yakustukia mauzauza kwenye simu yake so kila mtu akajua mambo yake lkn tuliendelea kua friend na Salam fupifupi lkn kuanzia mwez November mwaka Jana akawa anazidisha mawasiliano na kuomba turudie game nlimhoji vp kipindi ambacho hatukua p1 hukua na mtu?akanijibu alikua nae lkn wameachana so aliendelea kuomba tukumbushie mechi nkawa namzugazuga sasa twende kwenye mada wiki iliopita akanitext akanambia naomba unisamehe kwa ntakayokueleza nkamuambia usijali ongea tu,akanambia amebeba ujauzito wa jamaa aliekuwaga nae alafu jamaa katimka na simu hapokei na yeye hali yake ni ngumu hata pesa ya kula inamshinda hivyo ameomba nimsaidie kutoa mimba
Naombeni ushauri wenu nimsaidie au nikaushe
kwanza usikubali na kwanini akimbilie kwako na sio kwa jamaa japo najua kuna vitu ana kuficha cha msingi we mwambie kuwa alele mimba asijali kuhusu mtoto. maana kama alikuwa anaku force mrudie ligii ina maana alitaka akubambikie maana sio poa. sema na wewe uka shtuka ukawa unaenda nae taratibu
 
Kwanini Uteseke?
Yaani Mliachana Akabeba Mimba Wewe Mwenyewe Huoni Baadaye Utajilaumu
Tumia Huu Msemo Wa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania

Kwenye Utawala Wangu Maneno Matamutamu Sitayasema,Mimi Nitasema Makavumakavu


Huyo Anakudanganya Kizuri Usimpe Msaada Wowote Mpaka Ajifungue
 
kwanza usikubali na kwanini akimbilie kwako na sio kwa jamaa japo najua kuna vitu ana kuficha cha msingi we mwambie kuwa alele mimba asijali kuhusu mtoto. maana kama alikuwa anaku force mrudie ligii ina maana alitaka akubambikie maana sio poa. sema na wewe uka shtuka ukawa unaenda nae taratibu
Naunga Mkono Hoja
Watu Tunateseka Mno
Huyo Alikuwa Anapewa Mimba Fake
 
Ipo hivi nlikuaga penzin na demu flani hivi lkn mwaka Jana katikati tuliachana kimyakimya baada yakustukia mauzauza kwenye simu yake so kila mtu akajua mambo yake lkn tuliendelea kua friend na Salam fupifupi lkn kuanzia mwez November mwaka Jana akawa anazidisha mawasiliano na kuomba turudie game nlimhoji vp kipindi ambacho hatukua p1 hukua na mtu?akanijibu alikua nae lkn wameachana so aliendelea kuomba tukumbushie mechi nkawa namzugazuga sasa twende kwenye mada wiki iliopita akanitext akanambia naomba unisamehe kwa ntakayokueleza nkamuambia usijali ongea tu,akanambia amebeba ujauzito wa jamaa aliekuwaga nae alafu jamaa katimka na simu hapokei na yeye hali yake ni ngumu hata pesa ya kula inamshinda hivyo ameomba nimsaidie kutoa mimba
Naombeni ushauri wenu nimsaidie au nikaushe
KAUSHA.
 
Hiyo mimba alitaka akubambikie wewe ndiomana alikuwa anataka mkumbushie game,huyo jamaa kaanza kula mzigo tangu yupo na wewe na yeye anahis mimba yako ndiomana kala kona.
 
Aliomba game kwa fosi ili akubebeshe mzigo huo. Bora uliruka.... Watoto wengi tunawalea sio damu zetu...

Lea mimba tu Boss usibebe dhambi isiyokuhus
 
Mkuu mbona toka November alisha kudanganya kwamba wameachana na jamaa ake,ivyo mkumbushie gem alafu anakurudi February na mimba ya jamaa??huwoni kuwa mimba ni yako na jamaa mliokuwa mnashea?
Toa msaada wa kulea maana baraka zitakuwa nyingi kuliko kutaka baraka kwa malaya kwani akitoa atakushukuru na ngono utafaidi lakini kunadam inayokufuata...
 
Back
Top Bottom