Nimsaidie atoe mimba au nikaushe

Nimsaidie atoe mimba au nikaushe

Mwambie kuna mishe unaisikilizia utamjibu. Usiasahau kutekeleza na ilani ya chama. Mkuu unae Mungu sana ungeenda tu kupasha kiporo basi ungebambikiwa hiyo mimba.
 
Usimsaidie..acha abebe mzigo wake mwenyewe.
 
Usishiriki kuua

Niimgekuwa mimi akishaniambia hivyo nampa nauli tu....

Aliyempa mimba ndo wakaue nae huyo mtoto..

Kutoa mimba ni vitu vidogo lkn sio vitu vdg.Haya Maisha jamani kuna mikosi mingine si lazima tuibebe
 
Huyu demu alitaka kukubebesha mzigo wewe , na wewe muache abebe mzigo wake
 
Chill🎶🎶
Ipo hivi nilikuwa penzini na demu fulani hivi lkn mwaka Jana katikati tuliachana kimyakimya baada ya kustukia mauzauza kwenye simu yake so kila mtu akajua mambo yake lkn tuliendelea kuwa friends na Salam fupifupi

Kanzia mwezi Novembea mwaka Jana akawa anazidisha mawasiliano na kuomba turudie game nilimhoji vipi kipindi ambacho hatukuwa pamoja hukuwa na mtu? Akanijibu alikuwa naye lkn wameachana so aliendelea kuomba tukumbushie mechi nikawa namzuga zuga

Wiki iliopita akanitext akanambia naomba unisamehe kwa nitakayokueleza, nikamuambia usijali ongea tu..., akanambia amebeba ujauzito wa jamaa aliyekuwaga naye halafu jamaa katimka na simu hapokei na yeye hali yake ni ngumu hata pesa ya kula inamshinda hivyo ameomba nimsaidie kutoa mimba.

Naombeni ushauri wenu nimsaidie au nikaushe.
 
Back
Top Bottom