Nimshauri nini huyu?

GKM

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2012
Posts
738
Reaction score
328
Salam kwenu wakuu,

Ni msichana, alimaliza form 6 2010 combination ya CBG. Matokeo yake hayakuwa mazuri, alipata Div 4 ya 18 ( masomo yote alipata S). Anataka kujiunga na elimu ya juu (degree) lakini part time. Pia hapendi course zenye hesabu hesabu. Priority yake ipo kwenye kozi ya Education lakini anafikiria pia kozi zingine. Je chuo gani kitamfaa? Kozi gani?

Natanguliza shukrani wakuu.
 

Mwambie hana credit za kutosha kuendelea na leval ya degree hapa tz. Otherwise mshauri aende uganda atapata vyuo vingi tu kwa ufaulu huo
 
degree hana sifa! Mwambie aende diploma! pia hko hana sifa atatakiwa aanze na foundation course! note nazungumzia vyuo vizur vinavyotoa diploma! Bt kama vyuo vile vya ghorofa ya 4 atapata, note direct entry for diploma ni E moja na S moja
 
degree hana sifa! Mwambie aende diploma! pia hko hana sifa atatakiwa aanze na foundation course! note nazungumzia vyuo vizur vinavyotoa diploma! Bt kama vyuo vile vya ghorofa ya 4 atapata, note direct entry for diploma ni E moja na S moja

Kama chuo gani mkuu anaweza kwenda? Kozi gani? na je, yale mambo ya mature entry na pre entry siku hizi hamna?
 
Mwambie hana credit za kutosha kuendelea na leval ya degree hapa tz. Otherwise mshauri aende uganda atapata vyuo vingi tu kwa ufaulu huo

Je hawezi kuanza na pre entry? Au diploma? vyuo gani anaweza kusoma kwa part time?
 
Kama chuo gani mkuu anaweza kwenda? Kozi gani? na je, yale mambo ya mature entry na pre entry siku hizi hamna?

vyuo vya ghorofa ya 4 vpo kbao! Angalia/sikiliza vyombo vya habar matangazo yao yapo mengi!
 
vyuo vya ghorofa ya 4 vpo kbao! Angalia/sikiliza vyombo vya habar matangazo yao yapo mengi!

mkuu sijaviulizia hivyo, kama huna ushauri wa maana just stay quiet nitakuheshimu zaidi!
 

dah,nimemurumia sana but bado ana nafasi,asikate tamaa,mm namshauri akasome diploma ya procurement njiro Arusha kuna mchizi wangua alisomaga tena komb yake ilikuwa HGE,akimaliza akifaulu vizuri anaendelea na degree ya kitu anacho taka,ila hesabu ni kama kawa kwani sii amesoma bam??
 
Sielew kwa nini watu mwakimbia hesabu?? Hesabu haikimbiliki ndugu yangu...na kama kasoma cbg na kapata s atashindwaje hesabu za chuo!!
 

Mkuu anataka kusoma dar kwa sababu biashara zake zipo huku,,hamna namna nyingine?
 
Mkuu anataka kusoma dar kwa sababu biashara zake zipo huku,,hamna namna nyingine?

kwa dar,nitakudanganya im not sure but nenda IFM ulizia ,majibu utayapata bro,au jaribu kugoogle icho chuo na na iyo facult uone wanaitaji mtu mwenye sifa gani,ila ata MUCCOBS moshi anapata kama kawa,ila cos ataki kutoka Dar,mchekie hukohuko iyo facult ya procurement,au zingine kulingana na sifa zake,cos now dayz kila sifa ina chuo na program yakusomea,ata kama angepata dvn O bama,
 

haha,,mkuu umenichekesha sana..nlifikiri kila chuo na kila kozi ina sifa zinazohitajika,,kumbe ni kila sifa ina chuo na kozi yake haha..haya bwana,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…