Nimshauri nini Rafiki yangu baada ya kumpa mimba mke wa mtu

Nimshauri nini Rafiki yangu baada ya kumpa mimba mke wa mtu

shem siku hizi adhabu zimekua kali mwanaume akidakwa analiwa mwanamke akidakwa anakalia chupa....

Kweli kabisa.. Na mwenye mke akishamkata marinda mgoni wake wala hampi talaka mkewe.. Wanaendelea kuishi kama zamani.. Maana kila akikumbuka alivyogongewa baadae anakumbuka alivyomchana marinda mgoni wake anatabasamu..
 
Kweli kabisa.. Na mwenye mke akishamkata marinda mgoni wake wala hampi talaka mkewe.. Wanaendelea kuishi kama zamani.. Maana kila akikumbuka alivyogongewa baadae anakumbuka alivyomchana marinda mgoni wake anatabasamu..
ha ha ha ha kumbe inapunguza maumivu eeeh
 
abatmwe mtiririko wa habari hii nahisi kama mhusika ni mwandishi wa makala hii..sasa funguka kama ni wewe tukushauri uhame mara moja na uhamie mbali maana siku hizi dar si salama. jamaa anaweza kukupeleka mabwepande.
Nina jamaa yangu amepanga chumba kimoja uko Tandika, sasa katika nyumba iyo iyo chumba kingine kuna dada nae amepanga na mume wake. Jamaa kiukweli ni mtanashati fulani na kwa jinsi alivyo ni mtu wa vimwana sana. Kumbe yule dada alikuwa anamzimia sana yule jamaa yangu ingawa yule mdada ana mume wake mule ndani.

Sasa kilichotokea japokuwa hakunieleza kwa undani jamaa alikuwa anakamata ule mzigo wa mtu, na kwa bahati mbaya jamaa alikuwa hana kazi maalum kwaiyo yeye alikuwa anakamua sana mchana wakati yule mume wa yule demu akiwa kazini.

Walijenga mazoea sana kiasi kwamba mpaka chakula alikuwa anapikiwa na yule demu mchana, demu akishapika huwa anaweka chakula kwenye ndoo ya maji ya kuoga alafu kwasababu walikuwa wanaitumia wote na jamaa anajifanya kama anataka kwenda kuoga anachukua ile ndoo anaingia nayo ndani, anachukua chakula anakula.

Inavyoonekana majirani walishashtukia mchezo na mwenye mke alishapewa dodosi kuwa mkeo analiwa ila kilichokuwa kinamfanya asiamini jamaa alikuwa anaingiza vimwana sana mule ndani , hii ilimfanya hata yule mke wa mtu alikuwa anaona wifu ila jamaa alikuwa anasisistiza kuwa yeye anafanya vile ili kuweka mambo sawa mule ndani ili jamaa asishtukie mchezo, yule mke wa mtu ilibidi awe mpole.

Sasa kilichotokea ni kwamba jamaa kampa mimba yule mke wa mtu kwani kuna kipindi kirefu jamaa alisafiri na yule jamaa yangu ndo alikuwa anagonga kama ya kwake vile maana alikuwa analala nayo ndani kwake kabisa. Ila mwenye mke kwa furaha aliposikia habari za mimba ndo kwanza kalifurahia kuwa sasa anapata mtoto wakati mke mchezo mzima anaujua.

Sasa kilichotokea ni kwamba jamaa amenifata nimpe ushauri kuwa ahame ama la kabla ya mtoto kuzaliwa kwa sababu anajihisi kuwa anadamu kali kiasi kwamba mtoto atakae zaliwa lazima atafanana nae manake uyu jamaa ana mtoto mwingine kafanana nae kila kitu.

Nimeona ili jamabo niliweke umu kuomba ushauri wenu, nimshauri vipi uyu jamaa manake anajihisi aya mambo yatakuja lipuka mtoto atakapozaliwa.
 
hamsikii kuwa mbegu zenye rutuba siku hizi dili?wenzenu wanauza nyie mnamwaga hovyo!
 
Nina jamaa yangu amepanga chumba kimoja uko Tandika, sasa katika nyumba iyo iyo chumba kingine kuna dada nae amepanga na mume wake. Jamaa kiukweli ni mtanashati fulani na kwa jinsi alivyo ni mtu wa vimwana sana. Kumbe yule dada alikuwa anamzimia sana yule jamaa yangu ingawa yule mdada ana mume wake mule ndani.

Sasa kilichotokea japokuwa hakunieleza kwa undani jamaa alikuwa anakamata ule mzigo wa mtu, na kwa bahati mbaya jamaa alikuwa hana kazi maalum kwaiyo yeye alikuwa anakamua sana mchana wakati yule mume wa yule demu akiwa kazini.

Walijenga mazoea sana kiasi kwamba mpaka chakula alikuwa anapikiwa na yule demu mchana, demu akishapika huwa anaweka chakula kwenye ndoo ya maji ya kuoga alafu kwasababu walikuwa wanaitumia wote na jamaa anajifanya kama anataka kwenda kuoga anachukua ile ndoo anaingia nayo ndani, anachukua chakula anakula.

Inavyoonekana majirani walishashtukia mchezo na mwenye mke alishapewa dodosi kuwa mkeo analiwa ila kilichokuwa kinamfanya asiamini jamaa alikuwa anaingiza vimwana sana mule ndani , hii ilimfanya hata yule mke wa mtu alikuwa anaona wifu ila jamaa alikuwa anasisistiza kuwa yeye anafanya vile ili kuweka mambo sawa mule ndani ili jamaa asishtukie mchezo, yule mke wa mtu ilibidi awe mpole.

Sasa kilichotokea ni kwamba jamaa kampa mimba yule mke wa mtu kwani kuna kipindi kirefu jamaa alisafiri na yule jamaa yangu ndo alikuwa anagonga kama ya kwake vile maana alikuwa analala nayo ndani kwake kabisa. Ila mwenye mke kwa furaha aliposikia habari za mimba ndo kwanza kalifurahia kuwa sasa anapata mtoto wakati mke mchezo mzima anaujua.

Sasa kilichotokea ni kwamba jamaa amenifata nimpe ushauri kuwa ahame ama la kabla ya mtoto kuzaliwa kwa sababu anajihisi kuwa anadamu kali kiasi kwamba mtoto atakae zaliwa lazima atafanana nae manake uyu jamaa ana mtoto mwingine kafanana nae kila kitu.

Nimeona ili jamabo niliweke umu kuomba ushauri wenu, nimshauri vipi uyu jamaa manake anajihisi aya mambo yatakuja lipuka mtoto atakapozaliwa.

asante kwa taarifa
 
Hii kesi ya kutembea na wake za watu mbona zinazidi kushamiri? Mbona wasichana wapo wengi mnatafuta nini kwa wake za watu?
 
Back
Top Bottom