Nimshauri nini Rafiki yangu baada ya kumpa mimba mke wa mtu

shem siku hizi adhabu zimekua kali mwanaume akidakwa analiwa mwanamke akidakwa anakalia chupa....

Kweli kabisa.. Na mwenye mke akishamkata marinda mgoni wake wala hampi talaka mkewe.. Wanaendelea kuishi kama zamani.. Maana kila akikumbuka alivyogongewa baadae anakumbuka alivyomchana marinda mgoni wake anatabasamu..
 
akae tuu. asubiri utamu Part 2 utakavyomwingia.
 
Kweli kabisa.. Na mwenye mke akishamkata marinda mgoni wake wala hampi talaka mkewe.. Wanaendelea kuishi kama zamani.. Maana kila akikumbuka alivyogongewa baadae anakumbuka alivyomchana marinda mgoni wake anatabasamu..
ha ha ha ha kumbe inapunguza maumivu eeeh
 
abatmwe mtiririko wa habari hii nahisi kama mhusika ni mwandishi wa makala hii..sasa funguka kama ni wewe tukushauri uhame mara moja na uhamie mbali maana siku hizi dar si salama. jamaa anaweza kukupeleka mabwepande.
 
hamsikii kuwa mbegu zenye rutuba siku hizi dili?wenzenu wanauza nyie mnamwaga hovyo!
 

asante kwa taarifa
 
Hii kesi ya kutembea na wake za watu mbona zinazidi kushamiri? Mbona wasichana wapo wengi mnatafuta nini kwa wake za watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…