Nimshauri nini Rafiki yangu baada ya kumpa mimba mke wa mtu

Hapana tinna, ni wazo zuri ila nina majukumu mengine yanayonishinda kufungua school. We ndo uapaswa unishauri nimsaidieje uyu jamaa, please please nishauri nikamshauri
Naona una kipaji cha ushauri eeeenh??????? fungua school of advice utapata hela.
 
hahaha!..mwambie aandae nepi tuu!

Aya bana, nitamwambia ila nafikiri nae ataziweka kwenye ndoo kama yeye alivyokuwa anapewa chakula kukifichwa kwenye ndoo ya kuogea,ili bibie aje kuzichukua kupitia iyo ndoo, manake ivi ivi hawezi kuzifikisha
 

demu akishapika huwa anaweka chakula kwenye ndoo ya maji ya kuoga alafu kwasababu walikuwa wanaitumia wote na jamaa anajifanya kama anataka kwenda kuoga anachukua ile ndoo anaingia nayo ndani, anachukua chakula anakula.
wuuuuuuuu ngoja nkatapike kwanza pptuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Eti unaomba ushauri ukamshauri mshauriwa anaetaka ushauri wa kushauriwa na washauri wa JF.......!
 
Inatakiwa huyo jamaa amfuate mwenye mke amuambie kweli kisha amuombe amuachie huyo mke....
 
Ameshafanya uharibifu mkubwa sana, ahame fasta kabla hayajamkuta mambo makubwa.
 
Aendelee tu kula maana atakua anatanua njia pia.
 
km vp mwambie jamaa akaushe tu, asubirie BRN kwa alichokuwa anakifanya...ful maconfidence ya kutosha yan
 
Nakushauri umwambie Mume wa huyo mke wenu ila mwambie asimwambie mtu!
 

Hapo kamanda kama mim siwez tapika ila nimepata somo! Nitalifanyia kazi! Ubarikiwe sana mtoa maada!
 
kumbe umepewa njia nzuri ya kumfaidi mama nani chumba cha jirani ee
 
Mh ushauri wanini hapo?mijitu mingine ka kenge vile mbona wakati wanagegedana na kutongozana hukuja kuomba ushauri?sema tu niwewe mxxxuuuuuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…