tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,308
Haaa haa hapana, sio mie tinna, mi natafuta ushauri wa kumshauri
Naona una kipaji cha ushauri eeeenh??????? fungua school of advice utapata hela.
hahaha!..mwambie aandae nepi tuu!
ukishaonja mke wa mtu kumwacha ngumu.
demu akishapika huwa anaweka chakula kwenye ndoo ya maji ya kuoga alafu kwasababu walikuwa wanaitumia wote na jamaa anajifanya kama anataka kwenda kuoga anachukua ile ndoo anaingia nayo ndani, anachukua chakula anakula.
wuuuuuuuu ngoja nkatapike kwanza pptuuuuuuuuuuuuuuuuuu