kuna watu wengine wamekuja kuongeza idadi ya wazembe tu ulimwenguni including huyu biharusi. huyu hataki ushauri anataka bakora tu.ooh my god nimekosa hata la kusema hapa..hivi huyu dada kama anampenda mwanamme mwingine kwa nini amekubali kuolewa na huyo jamaa .?hatari...
Nina rafiki yangu na alikuwa katika mahusiano na dada mmoja ambaye wakati huo alikuwa na boyfriend wake ila bado walikuwa hawafikia kuwa wachumba,pia rafiki yangu huyu nae ana mwanamke wake ambaye wamedumu kwa muda mpaka sasa.
Tatizo ni kwamba huyu dada anaolewa mwisho wa wiki hii huku akiwa na mimba ya rafiki yangu wakati muoaji hajui kinachoendelea,na bibie bado kadata kwa rafiki yangu na anasema anaolewa tu kwa kuwa ni heshima kwake na kwa wazazi wake.
Je mtoto akizaliwa jamaa atakuwa na haki ya kuwa na mtoto wake kama akitaka?
Waliochangia wote mbona mnakwepa swali hili? maana dhumuni la mtoa mada ni kupata jibu la swali hili !!! hayo mengine ni blaablaa tuwaachie wenyewe!!Je mtoto akizaliwa jamaa atakuwa na haki ya kuwa na mtoto wake kama akitaka?
i got the right to remain silent....:tape:
ooh my god nimekosa hata la kusema hapa..hivi huyu dada kama anampenda mwanamme mwingine kwa nini amekubali kuolewa na huyo jamaa .?hatari...
Bado nasimama katika mstari wa haki yangu.....:tape:We ndio muhusika wa Mimba??
Ohooo! Anaomba ushauri wakati mambo yameshaiva? 'Anatutry' nini?Wadau kwa taarifa rasmi ni kuwa leo ni send off ya huyo bi dada
Wadau kwa taarifa rasmi ni kuwa leo ni send off ya huyo bi dada