Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,089
Nina rafiki yangu na alikuwa katika mahusiano na dada mmoja ambaye wakati huo alikuwa na boyfriend wake ila bado walikuwa hawafikia kuwa wachumba,pia rafiki yangu huyu nae ana mwanamke wake ambaye wamedumu kwa muda mpaka sasa.
Tatizo ni kwamba huyu dada anaolewa mwisho wa wiki hii huku akiwa na mimba ya rafiki yangu wakati muoaji hajui kinachoendelea,na bibie bado kadata kwa rafiki yangu na anasema anaolewa tu kwa kuwa ni heshima kwake na kwa wazazi wake.
Je mtoto akizaliwa jamaa atakuwa na haki ya kuwa na mtoto wake kama akitaka?
Tatizo ni kwamba huyu dada anaolewa mwisho wa wiki hii huku akiwa na mimba ya rafiki yangu wakati muoaji hajui kinachoendelea,na bibie bado kadata kwa rafiki yangu na anasema anaolewa tu kwa kuwa ni heshima kwake na kwa wazazi wake.
Je mtoto akizaliwa jamaa atakuwa na haki ya kuwa na mtoto wake kama akitaka?