Tareeq
JF-Expert Member
- May 3, 2010
- 828
- 408
Nilipata huduma kutoka kampuni moja inayouza Solar na vifaa vyake.
Miongoni mwa bidhaa ilikuwepo TV set . Baada ya siku mbili sikuwa nimeridhishwa na huduma za kifaa chao niliwaarifu kwa njia ya simu na wao hudai kuwa simu zao zinarekodiwa.
Niliwalipa 180,000 kama malipo ya awali kutoka kwenye set yao yenye value ya 2,400,000/= Ndani ya mkataba wao kuna kipengele cha endapo mteja hajaridhika na huduma ndani ya siku 7 anarudishiwa pesa yake.
Mimi niliwaarifu ndani ya siku 2 lkn wakala wao hakuja kuchukua bidhaa zao hadi siku ya 7 na hapo dai lao nikuwa hawatorudisha pesa maana taarifa ya kutoridhika wao haijawafikia kwa wakati na Natamani kumshitaki wakala wao au nimshitaki yupi, wajuzi wa sheria NISADIENI
Miongoni mwa bidhaa ilikuwepo TV set . Baada ya siku mbili sikuwa nimeridhishwa na huduma za kifaa chao niliwaarifu kwa njia ya simu na wao hudai kuwa simu zao zinarekodiwa.
Niliwalipa 180,000 kama malipo ya awali kutoka kwenye set yao yenye value ya 2,400,000/= Ndani ya mkataba wao kuna kipengele cha endapo mteja hajaridhika na huduma ndani ya siku 7 anarudishiwa pesa yake.
Mimi niliwaarifu ndani ya siku 2 lkn wakala wao hakuja kuchukua bidhaa zao hadi siku ya 7 na hapo dai lao nikuwa hawatorudisha pesa maana taarifa ya kutoridhika wao haijawafikia kwa wakati na Natamani kumshitaki wakala wao au nimshitaki yupi, wajuzi wa sheria NISADIENI