Nimsomeshe kisha nimuoe aje kua mke(akimaliza form four)

Nimsomeshe kisha nimuoe aje kua mke(akimaliza form four)

Hii bado ijaniingia akilini bado inazunguka tuu nje ya kichwa unamaanisha bado ajaanza form one aunimesoma vibaya yani ni mtoto adi basi arafu unasema ni mzuri umempenda kuwa serious we una miaka mingapi kwasabu akifikia umri wakujielewa awezi kukubali ata kidogo
Niko twenty 23 she is 14
 
Akimaluza form four awe amefaulu kuendelea na five utafanya nini?
Yuko vizuri kichwan panapo majaaliwa naamin atafaulu , if not hata chet atapata, natarajia after three years of marriage aende diploma au kma matokeo c mazuri , certificate
 
7cc75b0739f1f7350097e59ec35d0ea1.jpg
 
Ushamwambia lakini kwamba utamuoa akimaliza? Usije kumlaumu badae
 
Nikweli haina tofauti na kujenga katk hifadh ya barabar, na nilishashuhudia mwalimu wangu wa kike msingi kuchinjwa na alie msomesha, kweli wanabadilika ila ngoja nijaribu nikiamin lolote laweza tokea,
Bcoz she has inner and outer beauty
 
Back
Top Bottom