zayn stunning
New Member
- May 4, 2012
- 1
- 0
mm ni dada wa tz, yaani mbongo mwenzenu nina matatizo kwenye mahusiano yangu naomba ushauri.......... niko na guy 1 2likua na relation nzur kias miaka 3 iliyopita then 2kawa apart az i went far kwa masomo (mikoa tofauti ila ni hapahapa tz)! 1 day 2kakutana facebuk 2kaanza relation tena, ila kuna vi2 ananiboa na ninajiuliza je ananipenda au vp, anaweza akajikausha asipige simu kwa 2 days na siku akipiga anadai amenimiss!
Pia anapenda kunisimulia stor za ma ex gf wake wat is ths ............ shud i quit o? i tok to him mra nying bt anarudia same mistakesanadai ye honesty sana thts y anasema kila k2 na haoni if its aproblem, anahis nina wivu sana ila si kweli i thnk hii ni kawaida kwa kila girl (kutotaka kusikia about x gf wa bf wako)............ pliz help!
Pia anapenda kunisimulia stor za ma ex gf wake wat is ths ............ shud i quit o? i tok to him mra nying bt anarudia same mistakesanadai ye honesty sana thts y anasema kila k2 na haoni if its aproblem, anahis nina wivu sana ila si kweli i thnk hii ni kawaida kwa kila girl (kutotaka kusikia about x gf wa bf wako)............ pliz help!