Nimuelewe vipi huy demu,,au nimueke kundi gani ?

bro hapo umechemsha kujifanya eti mkapime!hujafikiri kwa kina,kwa nini umekimbilia hilo swali? la kupima?ulikosa mtego mwingine wowote?fikiri kwanza kabla ya kutenda,kwani wewe ulitaka nini kwake kuoa au?:mullet::A S 13:
 
bro hapo umechemsha kujifanya eti mkapime!hujafikiri kwa kina,kwa nini umekimbilia hilo swali? la kupima?ulikosa mtego mwingine wowote?fikiri kwanza kabla ya kutenda,kwani wewe ulitaka nini kwake kuoa au?:mullet::A S 13:

Never know my friend,mambo yanaweza kubadilika,watu hupima kwanza sio wakati mushapigana na viambaza eti munaowana ndio mupime kama tushaambukizana jeee ? Hapo siku chemsha ila nilitaka kuwasha moto tu,,,hehehe
 
Ungetumia jabulan kwanza...chapa ilale mpango mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…