cna hakika nn kikubwa atasema
koz hajawah kunifumania ukiacha kuhis yan yeye tatzo dogo ananuna hata mwezi.hata ukiongea na mtu ambae yy n mgomv wake n kosa kubwa na mtaliwekea vikao
nnachowaza ndoa yangu n ya kanisan na kama mjuavyo ugumu wake, lakin upande mwingine nataman nam niwe na maisha ya furaha na mtu atakaenijal, kuniheshimu na kunipenda kwa dhat ,na ukizingatia umr wangu mdogo bado ntamvumilia for hw long
Naomba mnisaidie kwa ushaur*
Mm n msichana nna miaka 26,nmeolewa na nna mwaka wa 4 sasa katka ndoa.mume wangu amenipita kama miaka 12 hiv
Tatzo ni mume wangu ana wivu sana,asisikie kitu hana haja ya kufatilia km n kweli au lah ye ananihukumu tu.ameshanitoa kwake zaid ya mara 3 nami narudi home, baada ya miez kadhaa huwa ananifata na kutaka nirud tukaish sote.
Nikirud matatizo n yaleyale, hana muda wa kuwa nami hata kidogo, akitoka asbh kurud usiku saa 8 au 9. Had ss cjabahatika kupata mtoto nahc kutokana na stress na hata tendo la ndoa n nadra sana kwetu kwan amehama chumba yapata miez 6 sasa,so ukitaka game had umfate na anaweza akakubal au akaushe.matuc ni jambo la kawaida kwake na gubu ,nyumba yangu, ktanda changu n maneno yake had inakuwa kero.
kila siku ni kuninyanyasa. yan nakosa raha ya kuwa na mwenza,hakuna hata muda wa kupga story na hata akitoka haagi kabsa.
Nampenda sana mume wangu nmejaribu kukaa nae na kuzungumza hakuna unafuu wwt had sasa.
Nmebahatka kumaliza degree ya kwanza chuo cha UD,nawaza nitafute kaz ili niondoke nikaanze maisha yangu upya, nnachowaza ndoa yangu n ya kanisan na kama mjuavyo ugumu wake, lakin upande mwingine nataman nam niwe na maisha ya furaha na mtu atakaenijal, kuniheshimu na kunipenda kwa dhat ,na ukizingatia umr wangu mdogo bado ntamvumilia for hw long!
Naomba mnisaidie kwa ushaur*
Pole sana kwa yanayokusibu.
Kwa kusoma hiki ulichoandika ni vigumu sana kulielewa tatizo lako.
Inaelekea kuna kitu hujasema bado.
Kwa mfano, una matatizo makubwa sana kwenye ndoa yako
kiasi ambacho katika hali ya kawaida
ungejiodokea tu kama walivyosema wachangiaji waliotangulia.
Pia kawaida mwanaume hahami chumba
au kunyima tendo la ndoa bila sababu kubwa ya msingi.
Mwanamke kuhamwa chumba na mumewe au kukataliwa
katika tendo ni tusi kubwa sana (IMO). Mara nyingi wanawake ndio huhama au hata kukataa.
Wewe bado mdogo kiumri na hujazaa
hapo kwa mumeo wala hujaonyesha kuchangia katika upatikanaji wa mali za ndoa ( nyumba na rasilimali nyingine).
Kinachokufunga kamba ni nini? Wanawake wengine hawaondoki kwa sababu:
1. Pamoja na matatizo ya ndoa bado waume wana chembechembe za upendo/mapenzi kwao
2. Ndoa ina watoto na mwanamke anatamani watoto walelewe kwenye familia iliyo kamili
3. Mwanamke keshawekeza sana kwenye ndoa hiyo kwa maana ya miaka aliyokaa, na nguvu zake nyingine
4. Utegemezi kwa mume
Sasa wewe kwenye hizo hapo na nyingine labda utuambie ni kipi kimekunfunga hapo ndipo tukupe mawazo namna ya ku survive.
dada tumeshaenda zaid ya mara tatu nahic sasa nao wametuchokaPole sana dada yangu.
Kwanza nakupongeza kwa kuhimili huo mtihani.
Kwakuwa ndoa yenu mmefungia kanisani kaongee na mama wakanisa pamoja na wazee wengine wa kanisa uwaelezee hicho kisanga...
Naamini kabisa kwa busara zao zenye ujazo wa roho mtakatifu watapata ufumbuzi.
Pole sana kwa yanayokusibu.
Kwa kusoma hiki ulichoandika ni vigumu sana kulielewa tatizo lako.
Inaelekea kuna kitu hujasema bado.
Kwa mfano, una matatizo makubwa sana kwenye ndoa yako
kiasi ambacho katika hali ya kawaida
ungejiodokea tu kama walivyosema wachangiaji waliotangulia.
Pia kawaida mwanaume hahami chumba
au kunyima tendo la ndoa bila sababu kubwa ya msingi.
Mwanamke kuhamwa chumba na mumewe au kukataliwa
katika tendo ni tusi kubwa sana (IMO). Mara nyingi wanawake ndio huhama au hata kukataa.
Wewe bado mdogo kiumri na hujazaa
hapo kwa mumeo wala hujaonyesha kuchangia katika upatikanaji wa mali za ndoa ( nyumba na rasilimali nyingine).
Kinachokufunga kamba ni nini? Wanawake wengine hawaondoki kwa sababu:
1. Pamoja na matatizo ya ndoa bado waume wana chembechembe za upendo/mapenzi kwao
2. Ndoa ina watoto na mwanamke anatamani watoto walelewe kwenye familia iliyo kamili
3. Mwanamke keshawekeza sana kwenye ndoa hiyo kwa maana ya miaka aliyokaa, na nguvu zake nyingine
4. Utegemezi kwa mume
Sasa wewe kwenye hizo hapo na nyingine labda utuambie ni kipi kimekunfunga hapo ndipo tukupe mawazo namna ya ku survive.
Pole sana kwa yanayokusibu.
Kwa kusoma hiki ulichoandika ni vigumu sana kulielewa tatizo lako.
Inaelekea kuna kitu hujasema bado.
Kwa mfano, una matatizo makubwa sana kwenye ndoa yako
kiasi ambacho katika hali ya kawaida
ungejiodokea tu kama walivyosema wachangiaji waliotangulia.
Pia kawaida mwanaume hahami chumba
au kunyima tendo la ndoa bila sababu kubwa ya msingi.
Mwanamke kuhamwa chumba na mumewe au kukataliwa
katika tendo ni tusi kubwa sana (IMO). Mara nyingi wanawake ndio huhama au hata kukataa.
Wewe bado mdogo kiumri na hujazaa
hapo kwa mumeo wala hujaonyesha kuchangia katika upatikanaji wa mali za ndoa ( nyumba na rasilimali nyingine).
Kinachokufunga kamba ni nini? Wanawake wengine hawaondoki kwa sababu:
1. Pamoja na matatizo ya ndoa bado waume wana chembechembe za upendo/mapenzi kwao
2. Ndoa ina watoto na mwanamke anatamani watoto walelewe kwenye familia iliyo kamili
3. Mwanamke keshawekeza sana kwenye ndoa hiyo kwa maana ya miaka aliyokaa, na nguvu zake nyingine
4. Utegemezi kwa mume
Sasa wewe kwenye hizo hapo na nyingine labda utuambie ni kipi kimekunfunga hapo ndipo tukupe mawazo namna ya ku survive.
stak uchokozi wako masikini...ntakugeuza kuwa tajir shaur zako:lol:
Pole aiseee....
Ila jichunguze kama kwa namna yoyote ile unaweza ukawa umesababisha hali mliyonayo sasa hivi uanzie hapo kwa kujirekebisha.
we rose............. mi si masikini kiivo bana, ....................humu jamvini tunaye masikini mmoja tu, tena jeuri ile mbaya............... yeah, ......................ndoa tamu jamani, mwacheni mwenzenu avumilie hadi mwisho.................... si mnakumbuka imeandikwa kuwa yule atakayevumilia hadi mwisho ndiye atakayeokoka?...................... au miye ndo sikuyaelewa vizuri yale maandiko??................
hakuna kilichonifunga,nilikuwa najitahd kuvumilia labda ipo cku atabadilika
.na kujaribu kutafuta njia nyngne za kusolve tatzo kabla ya kuamua kutoka na ukichukulia n mume wa ndoa so huwez kukurupuka ktkmaamuz. lakn m sihitaj chcht alichochuma na wala tulichochuma koz mbal na uanafunz
n mjasiriamal
tatizo tunapenda kulalamika kuonewa pasipo kujichunguza