Nimwache akapange au niondoke mimi?

Kuondoka anasema mpaka mwakani, mimi nimechoka sana na nikimwona najawa na hasira sana kiasi kwamba huwa naondoka tu home na kwenda matembezi yangu sometimes naenda kulewa. I am so stressed kiasi kwamba sitaki ugomvi kabisa
Pombe ndio itakuongezea matatizo baada ya kumuacha mwanamke eti naenda kulewa zangu. Yaani wewe unajisainisha kuwa maskini mwenyewe.Pole bwana kunywa pombe sio Suluhisho la matatizo yako . Kaa nae mwambie a to z na Kwa sasa iwe mwisho wa mahusiano yenu. Uyo atakuwa jini
 
Ushaurii mzuri.. Nlikifikiri hivyo hivyo
 
Kuondoka anasema mpaka mwakani, mimi nimechoka sana na nikimwona najawa na hasira sana kiasi kwamba huwa naondoka tu home na kwenda matembezi yangu sometimes naenda kulewa. I am so stressed kiasi kwamba sitaki ugomvi kabisa
Demu anafanya upuuzi wote huo Hujawahi kumnasa hata Vibaoo... Au limbwata baba????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtoto peleka kwa Bibi, yeye rudisha kwao kama kifurushi tu, kinachotumwa kwenda Ulaya
 

Mkuu wewe ni malaika.
 
Mi nahc ninaroho ya unyama siwez kung'ang'ania matatzo kisa eti mtoto tena huyo anavoonekana atakuja kukuua mbele ya safari ili awehuru zaidi
 
Huwa najiuliza huko daslamu siku hizi kuna nini??

Mbona kila mwanaume akienda huko akili inabadilika??

Ushauri,
Usiishi na mtu kwa sababu imezaa nae, mtamtesa mtoto maishani mwake.
Mnakoelekea ni kuanza kuaibishana mbele ya mtoto
Bora akaishi huko na mama najua anapata visa vingi vya kutunga lakini huwa ni vya muda.
 

One thing, ndugu wanazingua sana lakini tuna upendo wa asili wa kuvumilia hasa kama ndugu mnashea wazazi. Mara nyingi ukiona mtu hapatani na ndugu yake usikurupuke kuangalia upande mmoja.
Mahusiano yako naona umeyaharibu mwenyewe toka mwanzo (sikulaumu kabisa maana najua mapenzi yalivyo). Hii ni kwa kukubali akuendeshe. Pia alipokuwa anakaa, wakati ndugu zake na yeye wanafukuza na kuwatukana ndugu zako na akatumia hela ya nauli ulitakiwa usitishe zoezi hapohapo.
Cha kufanya, nenda kwao ukalipe mahari/fine (ni mbaya kumzalisha binti wa watu na kwao hawakujui officially). Kisha Quit the relationship . Tafuta mwanamke anayeeleweka, huyo muache akue
 
Kwanza mkatie mwanao bima ya afya, ili upunguze ile mizina ya mtoto anaumwa sana kumbe ukituma hela yy anaenda saluni, ustawi wa jamii mtoto kwa mwezi ni kama elfu 80 hivi so yy ataambulia hiyo tu... piga chini
 
Kuondoka anasema mpaka mwakani, mimi nimechoka sana na nikimwona najawa na hasira sana kiasi kwamba huwa naondoka tu home na kwenda matembezi yangu sometimes naenda kulewa. I am so stressed kiasi kwamba sitaki ugomvi kabisa
Mkuu unatafuta hasara kwa ndugu zako hasa mamako. Kumbuka unategemewa na ndugu zako hivyo kuanza kupata ugonjwa wa moyo ni kuhatarisha maisha yako na wazazi wako.

Plz plz plz bro sijui umeumbwaje wewe maana mwanamme mvumilivu hivyo kizazi hiki hayupo. Ila mwisho wake utakufa alafu umwache yeye.

Fanya yafuatayo kama hataki kuondoka we fanya yafuatayo
1. Tafuta safari yoyote ya yeye kwa gharama yoyote ile aende kwao.
2. Akiondoka tafuta nyumba uhame na ikiwezekana badili na mawasiliano na umwambie asirudi tena maana umehama na hutaki maisha na yeye tena.

Bila shaka utaponya nafsi yako
 
Ninampango wa kuondoka nimwachie kila kitu maana uwezo wa kununua vingine upo so vitu kwangu siyo shida, labda nguo zangu tu na vifaa vyangu vya kazi
Nguo na vifaa vya kazi chukua na baadhi ya vitu chukua. Mkuu mbona mbinu ya kuchukua vitu ni simple mkuu. Mpe hela aende saloon akitoka we chukua gari somba vitu vyako mwachie jiko na kitanda na ndoo ya kuogea tu lakini mezani mwachie nauli na barua ya kumweleza aende kwao na huku ikiwezekana badili lain ya simu kwa mda. Ila ukibadili lain watu wa karibu waeleze juu ya kumiliki lain nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…