Nina 50,000sh. nifanya biashara gani?

Nina 50,000sh. nifanya biashara gani?

g
53945db6f494d4241b26785359db8d4a.jpg

acheni kusingizia UBONGO, atakuja mwingine wa civil aweke mwendo kasi hko kichwani, buildings na jicho liwe lift
 
wakuu haber zenu.
apa nilipo nina sh. 50,000 sasa nataka kuzalisha nipate pesa ya kuishi ...naombeni wazo la biashara..nifanye biashara gani ili niwezi kufanikiwa? kwa sasa nina ishi mbeya naombeni msaada wakuu
ukitaka upande haraka ni mwendo wa UNGA tu tena na ulivyoadimika hivi lazima upige mtonyo wa maana mkuu cha msingi ujasiri tu halafu uelewane na konda ili usafirishe vizur.
 
Kwa pesa hiyo. Unaweza kwenda kwenye masoko ya wakulima ukalangua matunda..mfano
Machugwa
tango
Nanasi
Na embe.
Unauza kwa rejareja na kuwakatia wateja kwenye sahani na sahani ukauza Tsh 1000
 
Vipi kuhusu kuiwekeza kwa muhindi aka kubeti timu kubwa zenye uhakika wa kushinda
 
Uza mishikaki utapata pesa tafuta jiko mjini kwenye watu wengi unaweza ongeza na ndizi za kukaanga.
 
Back
Top Bottom