Nina amkiwa sana. Hivi ndiyo nishakua mhenga hivi au ndo wameona sina hela?

Nina amkiwa sana. Hivi ndiyo nishakua mhenga hivi au ndo wameona sina hela?

35 sio kijana mdogo

Lakini hizo anatakiwa hivi,anatakiwa vile sio kweli...pesa inatafutwa,kwenye kutafuta hakuna specific age ya kutakiwa kuwa umepata
Ndivyo msemavyo wanawake
 
Ujue mpaka sasa sielewi inakuaje

Hapa nilipo mi nikijana mdogo mdogo wa miaka 35, maskini tu japo nina degree ya wanyamapori kutoka SUA.

Huku mtaani ninakoishi jijini Mwanza jamanii eeeh naamkiwa na mabinti hadi kero, sijui hawa mabinti lengo lao kuninyima nini. Huwa najiuliza hizi mvi kwenye ndevu ndo tatizo la mimi kuonekana mzee!! Au shida ni nini!
Una miaka 35 siyo?Okay.Watakuwa wanaiamkia degree yako tu.Tuliza boli uskonde.Ukishtuka utakuwa huna meno tayari.Yaani kibogoyo unabugia ugoro tu.
 
Back
Top Bottom