odoru
Member
- Jun 12, 2023
- 61
- 113
Ndivyo msemavyo wanawake35 sio kijana mdogo
Lakini hizo anatakiwa hivi,anatakiwa vile sio kweli...pesa inatafutwa,kwenye kutafuta hakuna specific age ya kutakiwa kuwa umepata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo msemavyo wanawake35 sio kijana mdogo
Lakini hizo anatakiwa hivi,anatakiwa vile sio kweli...pesa inatafutwa,kwenye kutafuta hakuna specific age ya kutakiwa kuwa umepata
Una miaka 35 siyo?Okay.Watakuwa wanaiamkia degree yako tu.Tuliza boli uskonde.Ukishtuka utakuwa huna meno tayari.Yaani kibogoyo unabugia ugoro tu.Ujue mpaka sasa sielewi inakuaje
Hapa nilipo mi nikijana mdogo mdogo wa miaka 35, maskini tu japo nina degree ya wanyamapori kutoka SUA.
Huku mtaani ninakoishi jijini Mwanza jamanii eeeh naamkiwa na mabinti hadi kero, sijui hawa mabinti lengo lao kuninyima nini. Huwa najiuliza hizi mvi kwenye ndevu ndo tatizo la mimi kuonekana mzee!! Au shida ni nini!
Ila we ni kiboko ya watu 😃😂😂, majibu konki na makavu🤒Kama una Mvi za Ndevu unashangaa nini kuamkiwa?
Ushazeeka yakheeeee!
Napenda sana kuamkiwaDah Poor Brain na mshamba_hachekwi mme disiwa😃😂🤒