Nina bahati mbaya kwenye daladala

Nina bahati mbaya kwenye daladala

From Meru

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2023
Posts
3,931
Reaction score
9,376
Kila nikipanda daladala
kuelekea kwenye nguvu kwa nguvu
yaan kaz za ujenz au misele
sipat bahati ya kukaa siti moja na
warembo. siku zote naokaa nao wanakua wazee au wahuni. mabint hupita siti yangu kama vile hawaioni. na hata akija binti mrembo kukaa ambayo ni nadra sana hata nikimsalimia hajibu ila wazee au wahun wananianza wenyewe stori.
je, ni kwann mbona mm ni handsam tu. je nifanyaje ili warembo wawe wanakuja kukaa siti niliyopo?
ushaurini wenu wataaram.

Babu Njunju (mzee wa kunjujumila)
 
Babu Njunju (mzee wa kunjujumila)
Kwa Sasa Unajiita Mzee wa kunjunjua lakini fainali ni uzeeni. Nina uhakika kwa Kazi zako za ujenzi una uwezo wa kuweka akiba ya elfu 30 kila mwezi ambayo baada ya miaka mwili ungepata mtaji wa biashara ya mitumba. Lakini kwa sababu umechagua kuwa Mzee wa kunjunjua, maisha Ni yako, all the best.
 
Kwa Sasa Unajiita Mzee wa kunjunjua lakini fainali ni uzeeni. Nina uhakika kwa Kazi zako za ujenzi una uwezo wa kuweka akiba ya elfu 30 kila mwezi ambayo baada ya miaka mwili ungepata mtaji wa biashara ya mitumba. Lakini kwa sababu umechagua kuwa Mzee wa kunjunjua, maisha Ni yako, all the best.
dunian tunapita nna nyumba meru ya urith mkuu
 
Kila nikipanda daladala
kuelekea kwenye nguvu kwa nguvu
yaan kaz za ujenz au misele
sipat bahati ya kukaa siti moja na
warembo. siku zote naokaa nao wanakua wazee au wahuni. mabint hupita siti yangu kama vile hawaioni. na hata akija binti mrembo kukaa ambayo ni nadra sana hata nikimsalimia hajibu ila wazee au wahun wananianza wenyewe stori.
je, ni kwann mbona mm ni handsam tu. je nifanyaje ili warembo wawe wanakuja kukaa siti niliyopo?
ushaurini wenu wataaram.

Babu Njunju (mzee wa kunjujumila)
Nunua gari, utampakia yeyote umtakaye mkuu.
 
Kila nikipanda daladala
kuelekea kwenye nguvu kwa nguvu
yaan kaz za ujenz au misele
sipat bahati ya kukaa siti moja na
warembo. siku zote naokaa nao wanakua wazee au wahuni. mabint hupita siti yangu kama vile hawaioni. na hata akija binti mrembo kukaa ambayo ni nadra sana hata nikimsalimia hajibu ila wazee au wahun wananianza wenyewe stori.
je, ni kwann mbona mm ni handsam tu. je nifanyaje ili warembo wawe wanakuja kukaa siti niliyopo?
ushaurini wenu wataaram.

Babu Njunju (mzee wa kunjujumila)
Tafuta hela nunua gari lako alafu wape lift au sajiri uber! Dawa ya moto ni moto
 
Back
Top Bottom