Nina bahati mbaya na wanawake wa JF

wacha kusagana...kaa utulie uolewe.
 
Duh! Leo ndiyo najua kama Dj Sepetu ni dume!!!!!

Yaani ningekuwa na tabia ya kuwafuata wanawake PM, basi wewe ungekuwa wa 3 baada ya wawili.

Usijali kiongozi tafuta mwingine utapata.
 
Ulipoweka mara ya kwanza tulijaribu kukuelewa lakini naona umerudia kwa mara nyingine tena,

Sasa hapo unategemea nini? Unacholalamika kuachwa ni nin? Demu wako atongozwe na wewe utongozwe,

Unachokitafuta utakipata!
 
Ulipoweka mara ya kwanza tulijaribu kukuelewa lakini naona umerudia kwa mara nyingine tena,

Sasa hapo unategemea nini? Unacholalamika kuachwa ni nin? Demu wako atongozwe na wewe utongozwe,

Unachokitafuta utakipata!
Sasa wengine wameweka za kiume ila hawana marinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…