Nina bahati mbaya na wanawake wa JF

Nina bahati mbaya na wanawake wa JF

Kuna manzi wangu humu jaman eti kanimwaga kisa avatar hizi du! Lol!

Nimembembeleza wapi hanielewi tena kachukua man mwingine humu humu!

Nasikitika yani manzi mtamu ana kisima cha ubatizo cha maji moto!sasa imekula kwangu!

Tena kuna wambea humu wanampamba tena wengine men walah!
Huyu Wa pili jamani mkosi gani huu
Bro mshana Jr nipe tunguli bhasi!

Kipusa chochote karibu uwe sabuni ya moyo na roho yangu!.
wacha kusagana...kaa utulie uolewe.
 
Duh! Leo ndiyo najua kama Dj Sepetu ni dume!!!!!

Yaani ningekuwa na tabia ya kuwafuata wanawake PM, basi wewe ungekuwa wa 3 baada ya wawili.

Usijali kiongozi tafuta mwingine utapata.
 
Ulipoweka mara ya kwanza tulijaribu kukuelewa lakini naona umerudia kwa mara nyingine tena,

Sasa hapo unategemea nini? Unacholalamika kuachwa ni nin? Demu wako atongozwe na wewe utongozwe,

Unachokitafuta utakipata!
 
Ulipoweka mara ya kwanza tulijaribu kukuelewa lakini naona umerudia kwa mara nyingine tena,

Sasa hapo unategemea nini? Unacholalamika kuachwa ni nin? Demu wako atongozwe na wewe utongozwe,

Unachokitafuta utakipata!
Sasa wengine wameweka za kiume ila hawana marinda
 
Back
Top Bottom