Nina bahati mbaya na wanawake wa JF

Kumbe hapa JF watu wanakulana kwa kwenda mbele,sasa kwa nini wewe Miss Natafuta unanibania hicho kisime na hiyo chura??[emoji32][emoji32][emoji32]
 
kama wewe kweli ni me utakuwa sio rizik...(punga)
 
Unafeli mzee...ushauri wa bure jipange upya.
 
Ebu toa kwanza hiyo avater...then tafuta hela uanze kutongoza upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…