Nina certificate naweza kuomba kusoma masters!

Wakwetu

Senior Member
Joined
Sep 14, 2008
Posts
156
Reaction score
16
Wakuu nina mdogo wangu alisoma certificate hapa CBE akapata ajira sasa ni mwaka WA sita ofisi imeamua kumpa ufadhili WA kusoma kwa mwaka wa masomo 2012/2013 Yeye amechukua fomu za masters na tayari amejaza anataka kurejesha. Je anaweza kuchaguliwa asome masters. Kama haiwezekani aombe nn?
 
mmh ninavyojua kama ana certificate inabd asome diploma 2yrs,then degree 3 yrs,hapo ndio atakua ame qualify kwa masters,labda awe amesoma masomo mengine like Cpa au Csp,au associate diploma in banking hapo masters anaeza pata.
 

Inawezekana,tanzania zaidi ya uijuavyo!!

Elimu ya certificate~na form 6
 
Elimu yake ni kidato cha nne kisha certificate ya cbe
 
mmh ninavyojua kama ana certificate inabd asome diploma 2yrs,then degree 3 yrs,hapo ndio atakua ame qualify kwa masters,labda awe amesoma masomo mengine like Cpa au Csp,au associate diploma in banking hapo masters anaeza pata.
Nashukuru kwa mwangaza ulionipa mkuu!
 
Naona anaota ndoto za mchana,elimu haihitaji haraka kiasi hicho,ni lazima apitie diploma kisha degree,anaweza kuunga degree kwa baadhi ya vyuo kwa kupitia mature age entry,ila kwa masters hiyo ni level nyingine kabisa,wala asipoteze application fee yake
 
pale JAPAN BIBLE INSTITUTE hata Phd atasoma ila hivi vya TCU afute hizo ndoto, asome tuu Dip coz hata degree sidhani kama atapata esp kwa huu utaratibu mpya wa CAS
 
Elimu yake ni kidato cha nne kisha certificate ya cbe

we mwenyewe elimu yako ikoje.? Labda aende azania college of tourism and secretarial courses atapata. Hivi unafikiria masters ni yebo kiasi hicho? Au kwa sababu amekaa kazini miaka mingi? Watu wana degree hawapati ndo huyo mwenye cheti? Labda kama ni chakula ya mkubwa pale kwa wauza samaki.
 
daah hata kma ni kuruka hyo itakua too much yani certificate to masterz
 
Cheti + Uzoefu anaweza kujiunga kuchukua shahada ya kwanza lakini siyo ya pili
 
certificate>diploma 2yrs>degree 3/4/5 yrs>masters.
mshaur aende Mdogo mdogo usimkatshe tamaa
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Ndo kwanza nasikia Leo,HAKUNA KITU KAMA HICHO MKUU mwambie aanze Diploma
 
JF haishi vituko, yaani na wewe uliyeta uzi nadhani kabisa huna hata certificate maana ungejua huyo mdogo wako hata kwa miujiza hawezi kupata admission ya masters.

Mkuu mambo mengine hata hayaitaji kuuliza yapo wazi kabisa, kikawaida mtu ambaye anasoma certificate kama kafika form six ina maana hana pass nzuri na kama ni form four ina maana hata C tatu mtihani.

Kutoka hapo alipo apae hadi masters!!!!
 
Njoo marangu usome computer then ndio uende dip cose akili zako fupi itakua hata computer hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…