Nina changamoto nayopitia ya mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi

Nina changamoto nayopitia ya mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi

Strong25

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
394
Reaction score
834
Hellow members natumaini mko poa kabisa

_Kama kijana mtanzania ninae ipambania kesho yangu ,kijana wa kimaskini ambae natamani siku moja nifanikiwe pia niwe daraja la mafanikio kwawengine ila changamoto nayopitia ni mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi nyingine.

Boss unakutafuta unampimia nyumba yake unampa hesabu yakazi yake anakwambia sawa fundi nitakutafuta,hio nitakutafuta ndo bye bye hutakaa uone tena simu yake,nikajiuliza au bei zangu kubwa..? Ila hapana mbona kuna mabosi nawapa bei yachini kabisa na kazi hawanipi.?

Siku unapita maeneo yale unakuta kazi ishafanywa namafundi wengine tena kwagarama kubwa (ukija kufatilia nikaribu mara mbili yabei uliotoa ww majukumu,familia inaniangalia nahii ndokazi yangu sina kazi nyingine nishapambana sana ila bado sioni future,nishafanya kazi viwandani nako nikama kupoteza muda,nishajaribu kutafuta connection zakazi mbali mbali ila bado hakuna kitu

Najua humu kuna watu wa hali zote (matajiri,maskini,wanaojiweza kiasi) _najua humu kuna watu washapitia changamoto nyingi zakimaisha ila now day washatoboa_mm kilio changu nifanye nini ili nifanikiwe kwenye hiki nachokifanya..? Njia zipi nipite,mbinu gani nitumie, najua ww ushapitia mengi so niko hapa kutaka msaada wako

Nakaribisha wazo lolote lile (elewa neno wazo lolote) so kama kuna namna unajua naweza fanya nikajinasua hapa nilipo bas usiache kunisaidia

Dunia tunapita (msaada wako kwangu huenda ukawa taa yangu yakijani kwenye maisha yangu na wengi usiowajua ambao wapo nyuma yangu
_mm ni fundi alluminium
 
Hellow members natumaini mko poa kabisa

_kama kijana mtanzania ninae ipambania kesho yangu ,kijana wa kimaskini ambae natamani siku moja nifanikiwe pia niwe daraja la mafanikio kwawengine
_ila changamoto nayopitia ni mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi nyingine.
_boss unakutafuta unampimia nyumba yake unampa hesabu yakazi yake anakwambia sawa fundi nitakutafuta,
_hio nitakutafuta ndo bye bye hutakaa uone tena simu yake,nikajiuliza au bei zangu kubwa..? Ila hapana mbona kuna mabosi nawapa bei yachini kabisa na kazi hawanipi.? Siku unapita maeneo yale unakuta kazi ishafanywa namafundi wengine tena kwagarama kubwa (ukija kufatilia nikaribu mara mbili yabei uliotoa ww
_majukumu,familia inaniangalia nahii ndokazi yangu sina kazi nyingine nishapambana sana ila bado sioni future,nishafanya kazi viwandani nako nikama kupoteza muda,nishajaribu kutafuta connection zakazi mbali mbali ila bado hakuna kitu
_najua humu kuna watu wa hali zote (matajiri,maskini,wanaojiweza kiasi) _najua humu kuna watu washapitia changamoto nyingi zakimaisha ila now day washatoboa_mm kilio changu nifanye nini ili nifanikiwe kwenye hiki nachokifanya..? Njia zipi nipite,mbinu gani nitumie, najua ww ushapitia mengi so niko hapa kutaka msaada wako
_PM iko wazi nakaribisha wazo lolote lile (elewa neno wazo lolote) so kama kuna namna unajua naweza fanya nikajinasua hapa nilipo bas usiache kunisaidia
-dunia tunapita (msaada wako kwangu huenda ukawa taa yangu yakijani kwenye maisha yangu na wengi usiowajua ambao wapo nyuma yangu
_mm ni fundi alluminium
Ingia kwenye ni biashara ya bidhaa kwq miguu yote miwili. Sasahiv wewe ni mfanya biashara wa huduma..

utofauti wako na madalali au mawinga ni mdogo sana
 
Wakati wa bahati uwapata watu wote.......

Usijar futa choz mwambie Bwana nashukuru kwa uhai na pia we ni bwana wa bwana kuniacha hai maana hesabu yangu bado ipo mikoni kwako..........

Note...Mungu hakupi unachotaka atakupa uchostaili kwa wakati

.....

Thank you God
 
Sasa mkuu mtaji unapata wapi ikiwa hela tu yakujikimu kimaisha hupati..?
Ndo mana nasema wewe utofaut wako na mawinga au madalali ni mdogo sana. Magumu unayopitia wewe na madalali au mawinga ni hayohayo utofauti ni quality tu

Pambana kupata mtaji ufanye biashara ya bidhaa, mnamalizana na wateja hapohapo. Huko utaishia ulozi tu, kijana mdogo kana wewe uanze kushindia miti shamba
 
Ndo mana nasema wewe utofaut wako na mawinga au madalali ni mdogo sana. Magumu unayopitia wewe na madalali au mawinga ni hayohayo utofauti ni quality tu

Pambana kupata mtaji ufanye biashara ya bidhaa, mnamalizana na wateja hapohapo. Huko utaishia ulozi tu, kijana mdogo kana wewe uanze kushindia miti shamba
Wazo zuri mkuu_mambo yakifunguka nitafanya hivyo
 
Back
Top Bottom