Nina changamoto nayopitia ya mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi

Nina changamoto nayopitia ya mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi

Kama una mtaji, wafanyie kazi yako kwa mkopo na wawe wanakulipa kidogo kidogo
Wapo watu wanafanya hivyo ila ni kampuni_kwamtu binafsi kufanya hivyo ningumu sana .kwanza kiuchumi wamtu pia ubinadamu siku hizi hakuna
 
Ila Kama kupata Kazi zako inakuwa ngumu je hauwezi kufanya Kazi katika kampuni ?

Then fatisha mifumo yote ya spiritual
 
Hellow members natumaini mko poa kabisa

_Kama kijana mtanzania ninae ipambania kesho yangu ,kijana wa kimaskini ambae natamani siku moja nifanikiwe pia niwe daraja la mafanikio kwawengine ila changamoto nayopitia ni mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi nyingine.

Boss unakutafuta unampimia nyumba yake unampa hesabu yakazi yake anakwambia sawa fundi nitakutafuta,hio nitakutafuta ndo bye bye hutakaa uone tena simu yake,nikajiuliza au bei zangu kubwa..? Ila hapana mbona kuna mabosi nawapa bei yachini kabisa na kazi hawanipi.?

Siku unapita maeneo yale unakuta kazi ishafanywa namafundi wengine tena kwagarama kubwa (ukija kufatilia nikaribu mara mbili yabei uliotoa ww majukumu,familia inaniangalia nahii ndokazi yangu sina kazi nyingine nishapambana sana ila bado sioni future,nishafanya kazi viwandani nako nikama kupoteza muda,nishajaribu kutafuta connection zakazi mbali mbali ila bado hakuna kitu

Najua humu kuna watu wa hali zote (matajiri,maskini,wanaojiweza kiasi) _najua humu kuna watu washapitia changamoto nyingi zakimaisha ila now day washatoboa_mm kilio changu nifanye nini ili nifanikiwe kwenye hiki nachokifanya..? Njia zipi nipite,mbinu gani nitumie, najua ww ushapitia mengi so niko hapa kutaka msaada wako

Nakaribisha wazo lolote lile (elewa neno wazo lolote) so kama kuna namna unajua naweza fanya nikajinasua hapa nilipo bas usiache kunisaidia

Dunia tunapita (msaada wako kwangu huenda ukawa taa yangu yakijani kwenye maisha yangu na wengi usiowajua ambao wapo nyuma yangu
_mm ni fundi alluminium
Weka kazi nzuri ulizofanya alafu hiyo kazi Kwa sasa naona pia welder wanafanya hivyo unatakiwa uwe versatile Ili kukidhi kipato chako
 
Hellow members natumaini mko poa kabisa

_Kama kijana mtanzania ninae ipambania kesho yangu ,kijana wa kimaskini ambae natamani siku moja nifanikiwe pia niwe daraja la mafanikio kwawengine ila changamoto nayopitia ni mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi nyingine.

Boss unakutafuta unampimia nyumba yake unampa hesabu yakazi yake anakwambia sawa fundi nitakutafuta,hio nitakutafuta ndo bye bye hutakaa uone tena simu yake,nikajiuliza au bei zangu kubwa..? Ila hapana mbona kuna mabosi nawapa bei yachini kabisa na kazi hawanipi.?

Siku unapita maeneo yale unakuta kazi ishafanywa namafundi wengine tena kwagarama kubwa (ukija kufatilia nikaribu mara mbili yabei uliotoa ww majukumu,familia inaniangalia nahii ndokazi yangu sina kazi nyingine nishapambana sana ila bado sioni future,nishafanya kazi viwandani nako nikama kupoteza muda,nishajaribu kutafuta connection zakazi mbali mbali ila bado hakuna kitu

Najua humu kuna watu wa hali zote (matajiri,maskini,wanaojiweza kiasi) _najua humu kuna watu washapitia changamoto nyingi zakimaisha ila now day washatoboa_mm kilio changu nifanye nini ili nifanikiwe kwenye hiki nachokifanya..? Njia zipi nipite,mbinu gani nitumie, najua ww ushapitia mengi so niko hapa kutaka msaada wako

Nakaribisha wazo lolote lile (elewa neno wazo lolote) so kama kuna namna unajua naweza fanya nikajinasua hapa nilipo bas usiache kunisaidia

Dunia tunapita (msaada wako kwangu huenda ukawa taa yangu yakijani kwenye maisha yangu na wengi usiowajua ambao wapo nyuma yangu
_mm ni fundi alluminium
Pole sanaa, emu fika afisini kwetu tuone namna gani ya kukusaidia
 
Nakuombea mafanikio mkuu,ila jambo Moja la msingi acha kuishi kinyonge au kutia huruma ooh Mimi ni maskini n.k jiamini hivo hivo ulivyo kwa Imani yako utatoboa
 
Nakuombea mafanikio mkuu,ila jambo Moja la msingi acha kuishi kinyonge au kutia huruma ooh Mimi ni maskini n.k jiamini hivo hivo ulivyo kwa Imani yako utatoboa
Thanks bro_ila unajua mara ingine kichwa tu kinapata moto ukicheki pande zote hakuna wakukushika mkono_then hapohapo ww ndo unaangaliwa uwasaidie wengine
 
Ila Kama kupata Kazi zako inakuwa ngumu je hauwezi kufanya Kazi katika kampuni ?

Then fatisha mifumo yote ya spiritual
Kwenye kampuni unakuta unalipwa labla laki mbili ama mbili nanusu kwamwezi_huko ilipo kampuni naww unapoishi nauli kila siku +kula yako unakuta hio pesa hata mwezi haufiki pesa ishakata by the way kupata kazi kwenye hizo kampuni pia sio rahisi pia
 
Muamini Mungu tu ilo ni swala la mdaa ap mbele kuna neema kubwa inakaribiaa pia usikate tamaa katika mapambano
 
Jaribu kufanya ' Digital Marketing '

Kazi zako zitangaze Sana mitandaoni then uwe unatoa na huduma za consultation bure ili kuwavutia wateja zaidi.
 
Back
Top Bottom