Nina dawa za kufanya mtu asifukuzwe kazi hata asitumbuliwe

Nina dawa za kufanya mtu asifukuzwe kazi hata asitumbuliwe

Dawa hii ni kiboko imesaidia wengi
Inafanya Boss akupende na asikufikirie vibaya na kamwe hawezi kukufukuza kazi, kukushusha cheo wala kukuona vibaya.
Dawa hii imesaidia hadi mawaziri wa nigeria, cameroon, Congo hadi Rwanda mawaziri walioitumia waliaminika sana na kamwe hawakufukuzwa uwaziri hadi walipoamua kutoka wenyewe.
Hivo kazi kwenu mimi sibembelezi mtu ukitaka nitafute upewe Dawa ukiacha yatayokukuta shauri yako.
Gharama ni milioni mbili tu sasa ukubali kupoteza kazi kisa gharama hiyo ndogo au utoe ubaki salama ni chaguo lenu.

Wengine ndo kwaanza tunatamani tufukuzwe kazi akili ijifunze kujitegemea b4 ndoa
 
Hiyo haiaminiki
images (74).jpeg
 
Dawa hii ni kiboko imesaidia wengi
Inafanya Boss akupende na asikufikirie vibaya na kamwe hawezi kukufukuza kazi, kukushusha cheo wala kukuona vibaya.
Dawa hii imesaidia hadi mawaziri wa nigeria, cameroon, Congo hadi Rwanda mawaziri walioitumia waliaminika sana na kamwe hawakufukuzwa uwaziri hadi walipoamua kutoka wenyewe.
Hivo kazi kwenu mimi sibembelezi mtu ukitaka nitafute upewe Dawa ukiacha yatayokukuta shauri yako.
Gharama ni milioni mbili tu sasa ukubali kupoteza kazi kisa gharama hiyo ndogo au utoe ubaki salama ni chaguo lenu.

Madhara ya kusoma sana na kukoswa ajira ndiyo haya. Mtu unajifanya mganga bila kupenda. Nikushauri Arovera, endelea kutafuta kazi halali, achana na hizi njia za mkato maana zikifeli sichelei kusema unaweza kufikia hatua mbaya zaidi katika jamii.
 
Dawa hii ni kiboko imesaidia wengi
Inafanya Boss akupende na asikufikirie vibaya na kamwe hawezi kukufukuza kazi, kukushusha cheo wala kukuona vibaya.
Dawa hii imesaidia hadi mawaziri wa nigeria, cameroon, Congo hadi Rwanda mawaziri walioitumia waliaminika sana na kamwe hawakufukuzwa uwaziri hadi walipoamua kutoka wenyewe.
Hivo kazi kwenu mimi sibembelezi mtu ukitaka nitafute upewe Dawa ukiacha yatayokukuta shauri yako.
Gharama ni milioni mbili tu sasa ukubali kupoteza kazi kisa gharama hiyo ndogo au utoe ubaki salama ni chaguo lenu.
Weka namba kabla ya mkeka wa baraza la mawaziri haujaandikwa na ule wa wakuu wa mikoa na wilaya Hahahah
 

Mganga kashaumbuka lakini nikukomaa na mawaziri wetu wasitumbuliwe dawa ipo au haujasikia baraza litabadilika hivi punde
 
Back
Top Bottom