Nina dawa za kufanya mtu asifukuzwe kazi hata asitumbuliwe


Wengine ndo kwaanza tunatamani tufukuzwe kazi akili ijifunze kujitegemea b4 ndoa
 

Madhara ya kusoma sana na kukoswa ajira ndiyo haya. Mtu unajifanya mganga bila kupenda. Nikushauri Arovera, endelea kutafuta kazi halali, achana na hizi njia za mkato maana zikifeli sichelei kusema unaweza kufikia hatua mbaya zaidi katika jamii.
 
Weka namba kabla ya mkeka wa baraza la mawaziri haujaandikwa na ule wa wakuu wa mikoa na wilaya Hahahah
 

Mganga kashaumbuka lakini nikukomaa na mawaziri wetu wasitumbuliwe dawa ipo au haujasikia baraza litabadilika hivi punde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…