Entitlement kwa ndugu wa kiafrika ni tatizo kubwa sana, mtu anajihisi kwamba kwavile ndugu yake kafanikiwa basi ana haki ya kupata sehemu ya mafanikio ya ndugu yake, nadhani hata wachezaji wengi wa kiafrika wamelalamika hili jambo kwamba ndugu wanahizi matatizo yao yote inabidi yashughulikiwe na ndugu yao anaecheza ulaya.
Tukija kwa upande wangu niliweza kuajiriwa taasisi flani ya kiserikali ambayo ina jina kubwa tu na vichwani mwa watu wanaichukulia kama taaisi inayolipa sana ila kwakweli mishahara ni mizuri ila sio kama watu wanavyoikuza sana.
Sasa kinachotokea ni kwamba yani ndugu wapo entitled sana kuniomba misaada kuzidi uwezo wangu kwa kipato, wao sijui ni nani aaliwadanganya nalipwa milioni 5 kila mwezi mshahara na posho basi imekuwa kazi kweli kweli, uhalisia ni kwamba kila mshahara baada ya makato + posho mwisho wa mwezi nabaki na 2.4, kitu pekee ambacho kimenipunguzia mzigo ni kwamba nyumba hainiumizi kichwa kichwa, mzazi aliwahi kuwa nazo hapo zamani, nilipewa moja ya urithi ilikuwa bado haijakamilika finishing chache sana nilihamia hivyo hivyo huku nazimalizia mdogo mdogo.
Hio 2.4 kwa usawa huu ukiwa na familia yako amini kwamba ni kiasi kidogo sana ukisomesha watoto shule za private, uwe na kigari chako kinachojitaji mafuta, matumizi ya nyumbani, hapo bado unajitolea kusomesha ndugu ehhhh !!!
Unajikuta mtupu lakini nao ndugu simu haziishi tu, tena mbaya zaidi wanajipiga vifua eti wanajichotea tu.
TATIZO LANGU SIO KUSAIDIA BALI NI KWAMBA MISAADA NAYOTOA HAIZALISHI CHOCHOTE, MTU WAWEZA MSAIDIA ANAENDA KULIA BATA MSAADA UNAOMPA, NI KWELI INABIDI TUSAIDIE NDUGU LAKINI MISAADA IWE NA LENGO LA KULETA MAENDELEO YA MUDA MREFU NA SIO RAHA ZA MUDA MFUPI AMA MATUMIZI AMBAYO YATAJIRUDI UPYA BAADA YA MUDA MCHACHE, UNASAUDIA MTU HATA LAKI 5 YEYE HAJIONGEZI HATA AENDE AFUNGUE KAMRADI AANZE KUSAKA MAISHA, INAISHIA YOTE KWENYE NGUO, KINGAMUZI, BANDO, POMBE, N.K.
Tukija kwa upande wangu niliweza kuajiriwa taasisi flani ya kiserikali ambayo ina jina kubwa tu na vichwani mwa watu wanaichukulia kama taaisi inayolipa sana ila kwakweli mishahara ni mizuri ila sio kama watu wanavyoikuza sana.
Sasa kinachotokea ni kwamba yani ndugu wapo entitled sana kuniomba misaada kuzidi uwezo wangu kwa kipato, wao sijui ni nani aaliwadanganya nalipwa milioni 5 kila mwezi mshahara na posho basi imekuwa kazi kweli kweli, uhalisia ni kwamba kila mshahara baada ya makato + posho mwisho wa mwezi nabaki na 2.4, kitu pekee ambacho kimenipunguzia mzigo ni kwamba nyumba hainiumizi kichwa kichwa, mzazi aliwahi kuwa nazo hapo zamani, nilipewa moja ya urithi ilikuwa bado haijakamilika finishing chache sana nilihamia hivyo hivyo huku nazimalizia mdogo mdogo.
Hio 2.4 kwa usawa huu ukiwa na familia yako amini kwamba ni kiasi kidogo sana ukisomesha watoto shule za private, uwe na kigari chako kinachojitaji mafuta, matumizi ya nyumbani, hapo bado unajitolea kusomesha ndugu ehhhh !!!
Unajikuta mtupu lakini nao ndugu simu haziishi tu, tena mbaya zaidi wanajipiga vifua eti wanajichotea tu.
TATIZO LANGU SIO KUSAIDIA BALI NI KWAMBA MISAADA NAYOTOA HAIZALISHI CHOCHOTE, MTU WAWEZA MSAIDIA ANAENDA KULIA BATA MSAADA UNAOMPA, NI KWELI INABIDI TUSAIDIE NDUGU LAKINI MISAADA IWE NA LENGO LA KULETA MAENDELEO YA MUDA MREFU NA SIO RAHA ZA MUDA MFUPI AMA MATUMIZI AMBAYO YATAJIRUDI UPYA BAADA YA MUDA MCHACHE, UNASAUDIA MTU HATA LAKI 5 YEYE HAJIONGEZI HATA AENDE AFUNGUE KAMRADI AANZE KUSAKA MAISHA, INAISHIA YOTE KWENYE NGUO, KINGAMUZI, BANDO, POMBE, N.K.