Kulwa real man
New Member
- Nov 13, 2023
- 1
- 5
Duh kila la kheri safari yataka moyo hiyoWanajamiiForums naomba kuuliza
Nahitaji msaada pia
Nina degree ya Biotechnology and lab science, nimesomea SUA nimegraduate tokea 2021
Nipo mtaan kazi sijapata lakini ndoto yangu ni kuwa Daktari. Nataka mwakani nijaribu kuapply CLINICAL MEDICINE. Je, watanikubalia maana kidato cha nne nimemaliza 2013.
Naomba msaada.
Wanakubali ni Pesa yako tu elimu haina mwisho Nacte na TCU Mifumo yao haiingiliani we andaa Pesa ya ada tuWanajamiiForums naomba kuuliza
Nahitaji msaada pia
Nina degree ya Biotechnology and Lab Science, nimesomea SUA nimegraduate tokea 2021
Nipo mtaan kazi sijapata lakini ndoto yangu ni kuwa Daktari. Nataka mwakani nijaribu kuapply CLINICAL MEDICINE. Je, watanikubalia maana kidato cha nne nimemaliza 2013.
Naomba msaada.
Makerere ya Uganda auUmechelewa kuomba ushauri...
Ungeweza kuomba bachellor of medicine and bachellor of surgery chuo kikuu makerere kama umesoma form 6 wanachukua kama una hiyo degree upo eligible kusoma medicine,ila sasa washafunga application za underhraduate kwa mwaka huu,bachellor of medicine and bachellor of surgery inakua juu ya clinical medicine
Ndiyo hiyo hiyoMakerere ya Uganda au
hio ela ya kulipia ada MD kwa.miaka.mitano ni bora ukatafuta kozi ya electric installation Veta ukapiga zako 2 year ukatafutia kazi pesa itayobaki anza biashara mdogomdogoWanajamiiForums naomba kuuliza
Nahitaji msaada pia
Nina degree ya Biotechnology and Lab Science, nimesomea SUA nimegraduate tokea 2021
Nipo mtaan kazi sijapata lakini ndoto yangu ni kuwa Daktari. Nataka mwakani nijaribu kuapply CLINICAL MEDICINE. Je, watanikubalia maana kidato cha nne nimemaliza 2013.
Naomba msaada.
Si unapply kupitia cheti chako cha form 4 au 6 watakubali.WanajamiiForums naomba kuuliza
Nahitaji msaada pia
Nina degree ya Biotechnology and Lab Science, nimesomea SUA nimegraduate tokea 2021
Nipo mtaan kazi sijapata lakini ndoto yangu ni kuwa Daktari. Nataka mwakani nijaribu kuapply CLINICAL MEDICINE. Je, watanikubalia maana kidato cha nne nimemaliza 2013.
Naomba msaada.
Haiwezekan wakose kijiwen.Mbona kuna madaktari pia wanahangaika mtaani kwa sasa
Maslahi..........wengine kulipwa kama deiwaka ishu, na wale wakongwe kwenye fani wanakaba kila kona private yupo serikalini yupo, kuna vihospitali wakiona wapya malipo yao jau,, kuna mmoja ninamfahamu alipelekwa huko moro baadae akaamua kurudi na alisoma China, wengi kipindi wanasoma walijua wakiingia kazini maslahi mazuri,,,wengi wanasotea internships hawaajiriwi baadae wanaamua tu kuangalia upepo mwingine wa maishaHaiwezekan wakose kijiwen.
Ooh huyo wa china alisepa kisa maslai madogo au?Maslahi..........wengine kulipwa kama deiwaka ishu, na wale wakongwe kwenye fani wanakaba kila kona private yupo serikalini yupo, kuna vihospitali wakiona wapya malipo yao jau,, kuna mmoja ninamfahamu alipelekwa huko moro baadae akaamua kurudi na alisoma China, wengi kipindi wanasoma walijua wakiingia kazini maslahi mazuri,,,wengi wanasotea internships hawaajiriwi baadae wanaamua tu kuangalia upepo mwingine wa maisha
Nimebisha sana leo; ni kweli kuna Madaktari mtaani hawana kazi?
Kuna mtu nilikuwa nabisha nae sana leo, mimi ni muhitimu wa level ya degree kwenye coz zetu hizi ambazo kila chuo ukienda zipo, ila MEDICAL DOCTOR Kiukweli kabisa kutoka moyoni siamini kama kweli kuna mtu amemaliza hiyo course hana ajira, labda mnisaidie wenzangu wa JF.www.jamiiforums.com
Soma kwanza heading yake vizuri halafu uje kuandika tena..Umechelewa kuomba ushauri...
Ungeweza kuomba bachellor of medicine and bachellor of surgery chuo kikuu makerere kama umesoma form 6 wanachukua kama una hiyo degree upo eligible kusoma medicine,ila sasa washafunga application za underhraduate kwa mwaka huu,bachellor of medicine and bachellor of surgery inakua juu ya clinical medicine
Hatufanani MALENGO na DHAMIRA ya maisha.hio ela ya kulipia ada MD kwa.miaka.mitano ni bora ukatafuta kozi ya electric installation Veta ukapiga zako 2 year ukatafutia kazi pesa itayobaki anza biashara mdogomdogo
Kwenye maisha kila mtu na mipango yake '"FOLLOW YOUR HEART""Kwann iyo hela ya kusoma miaka mitano mengine halaf urudi mtaani uwe huna la kufanya usianze biashara mdogo wangu au nyie hamuoni dunia inavoenda kama sie wengine tunaishi dunia tofaut labda