Nyanimweupe
Member
- Feb 25, 2013
- 26
- 1
Jamani kwa kweli mimi nina Division four ya point 30 hivyo familia imeamuru ni rudie mtihani.
Naomba msaada ivi ufaulu unaanzia ngap kwa mtu anaye risit yani D inaanza na ngapi mpaka C,
shule zipi ni bora kwa mikoa ya iringa na mbeya
Naomba msaada ivi ufaulu unaanzia ngap kwa mtu anaye risit yani D inaanza na ngapi mpaka C,
shule zipi ni bora kwa mikoa ya iringa na mbeya