Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kwa ardhi nakushauri hizi kozi 3Vyuo nimeomba vinne vingine Bado nataka kukancell admissions ili ni reaply
PHy ni nzuri na unaposemea phy na hesabu hizi ni natural sciences hizi ndio zimebeba engineering na tech! Na ndio maana kwa wenzetu mtu aliyesoma hesabu anauwezo wa kujua computer kuliko hata mtu wa comp science.Huezi amini sikujua hata kama ni physics kama physics
Thanks mucheeePHy ni nzuri na unaposemea phy na hesabu hizi ni natural sciences hizi ndio zimebeba engineering na tech! Na ndio maana kwa wenzetu mtu aliyesoma hesabu anauwezo wa kujua computer kuliko hata mtu wa comp science.
Shida ni nchi yetu, hizi field kwa sasa hazina application kiivo maana bongo bado tuko nyuma sana! Ungekua marekani au ulaya hapo sawa ila bongo utasoma namba!
Kwa kuzingatia muda ni vyema usome vitu vinavyoendana na mazingira ya bongo.
Thanks mucheeeKwa ardhi nakushauri hizi kozi 3
1. Architecture (highly recommend, na lazima upende kuchora hasa majengo! Ni nzuri kujiajiri na ajira)
2. Bulding economics (pia ilikua inajulikana kama QS hawa kazi yao ni kuchukua kazi za architects na engineers na kuandaa gharama za mradi, ni nzuri kujiajiri na ajira kwa private)
3. Environmental engineering (ajira hasa serikali).
All in all, 1 na 2 ndio the best in my opinion! Cha msingi ukipangiwa pambana uwe smart kichwani.
Ahsante nashukuru vipi kuhusu competition ciwez kukosa chance! kutokana na competition labdaKwa ardhi nakushauri hizi kozi 3
1. Architecture (highly recommend, na lazima upende kuchora hasa majengo! Ni nzuri kujiajiri na ajira)
2. Bulding economics (pia ilikua inajulikana kama QS hawa kazi yao ni kuchukua kazi za architects na engineers na kuandaa gharama za mradi, ni nzuri kujiajiri na ajira kwa private)
3. Environmental engineering (ajira hasa serikali).
All in all, 1 na 2 ndio the best in my opinion! Cha msingi ukipangiwa pambana uwe smart kichwani.
Kwa ardhi nakushauri hizi kozi 3
1. Architecture (highly recommend, na lazima upende kuchora hasa majengo! Ni nzuri kujiajiri na ajira)
2. Bulding economics (pia ilikua inajulikana kama QS hawa kazi yao ni kuchukua kazi za architects na engineers na kuandaa gharama za mradi, ni nzuri kujiajiri na ajira kwa private)
3. Environmental engineering (ajira hasa serikali).
All in all, 1 na 2 ndio the best in my opinion! Cha msingi ukipangiwa pambana uwe smart kichwani.
Hiyo ndio tunayoiongea, naona wameibadilisha jina tena. Nadhani inasomwa 4years!View attachment 3092752
Hiyo namba 20 yenyewe vipi
Coze❎Dogo huna ma broo wako huko....
Mpka sasa naona humu wanakujambisha.....
Cha kufanya wewe ingia chuo kama kawaida ... Then kuna kuwaga na dirisha la kubadili coze hivo utapita tu chap.
Kingine wanaokushauri kubadili corse ambazo zipo nje ya chuo cha dodoma jipange kwa complication za bodi ya mikopo..
Jipangae sana unaweza ukachukulia simple ila huu mwaka ukapita ujaenda chuo blood
SawaCoze❎
Course❎
Course ✅
Hii itakugharimu. Kuna mtu amesoma hiyo, alimaliza 2016. Kwa sasa ni Mwalimu wa Physics, na imemlazimu kusoma Postgraduate Diploma in Education ili awe Mwalimu professionalNimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.
Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.
Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Shida waliosoma PCB hawana interests na kozi kama Forestry, Bee Keeping, Nutrition au Physical Education & Sports Sciences ambapo ni angalau kuliko kujazana Clinical Medicine.first of all focus na stick kwenye kitu unacho kipenda , lkn pia kozi ziko nyingi sama it is not necessary kung'ang'ana na afya tu au science course pekee , kwa mtu wa PCB ana option ya ku extend na kwenda kwenye course mbali mbali , za finance , account , afya pia , baadhi ya kozi za uandisi n.k hvo focus kwamza na nini hasa unapenda unacho ona hatabukikifanya kinakupanuhuru na unakuwa confortable .. still una option kwenye second window kugusia course za kada nyingine
Maisha ya chuo/college yanahitaji kujipanga ili kukabiliana na changamoto, kama wahenga wanavyosema changamoto ni kipimo cha akili. Miongoni mwa changamoto hizo ni chakula na malazi/makazi/accomodation (Sio maradhi wapendwa😊).Nimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.
Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.
Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Ina kazi nyingi unaweza kuwa engineer wa maji ukadesign visima ukadesign system za mabomba ya maji, tunaweza kufanya water treatment ya maji kuna a lot of approach hapo huwz kuzijua tunadesign mabwawa ya maji tunafanya construction za mijengo as civil japo tuna concept chache ilaa ata structure analysis tumesoma na soil mechanics kufahamu kind of soil na type of foundation ya kuapply tunafanya waste management tunadesign vijumba vya kuhifadhi taka tunafanya environmental impact assessment kwenye mirad yote hatukosi ukiwa na osha una nafas ya kuwa environmental officer tunauwezo wa kufanya b.o.q kwenye mrad wowote kuprice materials tunafanya building services zote installation ya watercloset na vit vngne vya mfumo wa choo kwenye nyumba installation za ac, firefighting system mambo ya sprinkler ni vitu ving mzee siwez kumaliza environmental engineer kutoka ardhi university muogope mzee.Environmental engineering
Inaleta kazi gani brother