Shida unadhani ni niniKuwa engenieer au kitu kingine utakuja nikumbuka ukisema wewe ni mwalimu hata wachumba watakukimbia wanacheleshewa mishara wako kama mapolisi mishahara yao ya mashaka Mpwayungu Village angalia huyu anataka kuingia kwenye moto ulao
Shule za sekondari huwezi kuajiriwa mpaka usomes ualimuCollege kama mwajiriwa serikalini aw kujitolea
Shida ya uaalimu hauna maokotoKuwa engenieer au kitu kingine utakuja nikumbuka ukisema wewe ni mwalimu hata wachumba watakukimbia wanacheleshewa mishara wako kama mapolisi mishahara yao ya mashaka Mpwayungu Village angalia huyu anataka kuingia kwenye moto ulao
Wewe dogo unabahati sana, watu wanashare uzoefu wao hapa sasa wewe jichanganye. Elimu ya sasa ili utoboe kibongo bongo inatakiwa ujanja ujanja na sio kusoma sana , kuna course watu wanasoma shortly pengine mwaka au chini ya mwaka na ana uhakika wa kazi nzuri. Sasa wewe jichanganye 4 yrs of nothingSASA kama sio sisi tutakaoanzisha wote tukapondea unadhani tutatoboa?
Kama unataka kuanzisha poa tu kasomeSASA kama sio sisi tutakaoanzisha wote tukapondea unadhani tutatoboa?
3 yearsWewe dogo unabahati sana, watu wanashare uzoefu wao hapa sasa wewe jichanganye. Elimu ya sasa ili utoboe kibongo bongo inatakiwa ujanja ujanja na sio kusoma sana , kuna course watu wanasoma shortly pengine mwaka au chini ya mwaka na ana uhakika wa kazi nzuri. Sasa wewe jichanganye 4 yrs of nothing
Hapo uhakika .A
Najua boda
Wewe dogo unabahati sana, watu wanashare uzoefu wao hapa sasa wewe jichanganye. Elimu ya sasa ili utoboe kibongo bongo inatakiwa ujanja ujanja na sio kusoma sana , kuna course watu wanasoma shortly pengine mwaka au chini ya mwaka na ana uhakika wa kazi nzuri. Sasa wewe jichanganye 4 yrs For sure,💯
Ndo uhalisia wenyewe utake , usitake .AW sio
Hata hiyo two wenda uliipata kwa kuibia.Nimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.
Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.
Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Yabi hata BVM ya SUA umeshindwa kuomba? Acha usiende chuo nenda mwakani.Tatizo Nisha confirm nikijaribu ku unconfirm inagoma
Ingekua ivo si kila mtu angeomba alafu akipata nafasi aende kuchange achukue MD?Si nasikia kuna kuchange koz aw ipoje huwaga
Physics ni hesabu dogo, kwenye wave na mechanics si mlikua mnatumia trig, intergration nk? Sasa huko chuo ndio utakuta hesabu zenyewe sasa. Mnachagua kozi ambazo hamjui kisa mmeona kwenye muvi. KapambaneDuh ase acha kujivunjia moyo basi sasa PCB na mathematics wapi na wapiii
Sikushauri usome diploma wala ualimu. Kuna kozi nyingi pale ardhi zina market na zinaendana na ufaulu wako. Acha kupoteza muda kwenda diploma/ualimu.Wewe unaweza nishauri zaidi nimepanda ushauri wako nisaidie nO zako za simu brother
We bado una utoto mwingi sana kichwani. Inaonesha bado una miaka 16.SASA kama sio sisi tutakaoanzisha wote tukapondea unadhani tutatoboa?