Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiende kusoma iyo kozi chagua kozi nyengine namjua mtu alosoma iyo kozi badilisha kozi nduguNimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.
Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.
Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Jiandae kushika chaki.Haina ias
Vipi kuhusu soko baada ya kuhitimu brother
Kwa huo ufaulu wako ungefanya selection vizuri ungepata hata environmental engineering au water resources and irrigation engineering.Nimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.
Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.
Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Ah masikhara haya yaani akawe bodaboda...jamani sii tunataka kuwa dona kwantriiii...hawa wandu wa bsc mathematics, physics na chemistry ni muhimu sanaBora ukae kwenu upige boda kuliko kusoma hiyo Course, usijichanganye mdogo wangu.
Kasome nursing dogo hiyo kozi unapoteza muda tuVipi kuhusu hiyo nursing nawezs kubadili bila shida?
Mkuu acha kupotosha vijana machozi yake yayakua juu yako baada ya miaka mi3 ya kupigika DoDoMa na mtaa utamchapa balabala.🤣Ah masikhara haya yaani akawe bodaboda...jamani sii tunataka kuwa dona kwantriiii...hawa wandu wa bsc mathematics, physics na chemistry ni muhimu sana
Kabisa Bora Boda bodaAh masikhara haya yaani akawe bodaboda...jamani sii tunataka kuwa dona kwantriiii...hawa wandu wa bsc mathematics, physics na chemistry ni muhimu sana
Acha kumdanganya dogoWewe kasome bwana nchi inahitaji watu kma nyie mzee mnashusha ma equations ya eistein pale...full matheory na namba kwa kwenda mbele....mzeya tunakutegemea uchukie nobel prize kwa physic mwaka 2050 usituangushe
Achana nayo hiyo badili koz ingineNimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.
Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.
Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Soma kwanza soko utalikuta tu🤣Haina ias
Vipi kuhusu soko baada ya kuhitimu brother