Nina Division Two ya point 10 (PCB)

Nina Division Two ya point 10 (PCB)

Sasa hivi unaweza usielewe, kifupi Sasa hivi huku mtaani bachelor degree ni maafisa usafirishaji
download.png
 
Nimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.

Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.

Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Course nzuri sana ,sema perception Kwa hapa Bongo ,watu hawaelewi applications za hii course ,hii course inalenga kutoa watafiti ,wavumbuzi na wabunifu wa technology .
Elon Musk mwenyewe ana degree ya Physics ,hebu niambie ,mnakionaje kile kichwa na mambo kinachoyafanya ?
Ukisoma hii course kuwa na vision huko mbele ya kufungua hata tech startup yako
 
Kwa nchi ambazo ziko developed kiteknolojia , makampuni yote utakuta wana vitengo vya research and development ,na humo wamejazana hawa watu ,hasa upande wa hardware design and development .
No watu muhimu sana , huwezi kuwa semiconductors developer pale TSMC bila kuwa na degree ya Physics au Engineering
 
Course nzuri sana ,sema perception Kwa hapa Bongo ,watu hawaelewi applications za hii course ,hii course inalenga kutoa watafiti ,wavumbuzi na wabunifu wa technology .
Elon Musk mwenyewe ana degree ya Physics ,hebu niambie ,mnakionaje kile kichwa na mambo kinachoyafanya ?
Ukisoma hii course kuwa na vision huko mbele ya kufungua hata tech startup yako
Siunajua watu tunataka money baadaye
 
Nimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.

Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.

Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Una malengo ya kuwa nani hapo baadae ukishahitimu hiyo bachelor of science in Physics?
 
Soma hiyo course kijana, usiwaze maokoto piga gpa kali ukimaliza kasome masters yyte kuhusu mambo ya technology ( robotics, aerospace, industrial tech etc) najua ukiua vizuri huwezi kukosa scholarship US, russia au hata turkey usiwe na haraka ya maisha wewe bado mdogo kuwa na ndoto kubwa usiwasikilize hao maboya wanaokushauri ukasome nursing WTF, uzuri hiyo itakufungulia uwanja mpana katika kuchagua course ya masters
 
Soma hiyo course kijana, usiwaze maokoto piga gpa kali ukimaliza kasome masters yyte kuhusu mambo ya technology ( robotics, aerospace, industrial tech etc) najua ukiua vizuri huwezi kukosa scholarship US, russia au hata turkey usiwe na haraka ya maisha wewe bado mdogo kuwa na ndoto kubwa usiwasikilize hao maboya wanaokushauri ukasome nursing WTF, uzuri hiyo itakufungulia uwanja mpana katika kuchagua course ya masters
Hiyo naikubal vipi kuhusu ugumu wa kozi?
 
Nimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.

Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.

Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Kama sio ualimu, basi mahukuru Mungu...
Mengine watakushauri waja.
 
Nimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.

Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.

Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Mkuu hamna kitu hapo

Nina experience na hiyo program nimesoma UDOM , college of natural and mathematical science (CNMS)

Bsc Physics, Biology, Mathematics ** unaenda kusoma theory na practical kama advance

Ni program isiyo na future.

USHAURI
Kama unaweza kusoma diploma ya afya kasome

Ikishindikana, kasome education (Physics & chemistry)

Make sure uwe competent na upate ufaulu mzuri upambanie kufundisha college na vyuo vikuu.


Kama unaona huwezi kuwa competent achana kabisa na ualimu.


Maana utakuwa ushaingia kwenye mfumo wa umaskini.
 
Mkuu hamna kitu hapo

Nina experience na hiyo program nimesoma UDOM , college of natural and mathematical science (CNMS)

Bsc Physics, Biology, Mathematics ** unaenda kusoma theory na practical kama advance

Ni program isiyo na future.

USHAURI
Kama unaweza kusoma diploma ya afya kasome

Ikishindikana, kasome education (Physics & chemistry)

Make sure uwe competent na upate ufaulu mzuri upambanie kufundisha college na vyuo vikuu.


Kama unaona huwezi kuwa competent achana kabisa na ualimu.


Maana utakuwa ushaingia kwenye mfumo wa umaskini.
Wewe unaweza nishauri zaidi nimepanda ushauri wako nisaidie nO zako za simu brother
 
Back
Top Bottom