July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
kama wewe n member humu ilikuwa lazima ufelli. maana ukiona mtu yupo humu ndani ujue kashachezea mitandao ya kijamii mingi sana kitu ambacho kwa umri wako na elimu uliyokuwa ukiipata haviendani.. haya mamitandao yanawaharibini sana vijana. hapo ulipo unaweza kuwa umefungua page hata saba za mitanadao tufauti!!
mkuu hapo umekosea.. Angekuwaga anakaa humu jukwa la elimu asingefeli.. Unless facebook