Nina furaha sana

Nina furaha sana

La kuchumpa

Member
Joined
Mar 10, 2012
Posts
69
Reaction score
8
Naenda kumuona mke wangu baada ya miezi mitano kuwa mbali na yeye kitu ambacho sio kawaida yetu... sasa ni mwendo wa kutembea uchi tu ndani
 
ah hayo ndio mambo...nae akipita tuu kitu unavuta karibu na kuenjoy
 
ningekuwa mimi ningepima kwanza,miezi mitano ni mingi...una uhakika gani alikuwa faithful kama ulivyokuwa wewe.....?mmmnh
 
Vipi lakini unakumbuka uliiacha na saizi gani usije ukawa uliiacha ndogo ukakuta tayari wahuni wameshaongezea
 
Wewe ni mshamba, sioni cha ajabu baina ya mke na mume.
 
I mean ni kawaida ya wapenzi wa kiwa mbali for long time, sasa soni cha zaidi katika hii thread. I hope mwenziwako kapania kama unilivyopania.

ahaaaa! Nimekuelewa anaonyesha kapania lakini ntaenda kujua hukohuko
 
Back
Top Bottom