La kuchumpa
Member
- Mar 10, 2012
- 69
- 8
mmmmh........
Kwa raha zako..
Vipi lakini unakumbuka uliiacha na saizi gani usije ukawa uliiacha ndogo ukakuta tayari wahuni wameshaongezea
Wewe ni mshamba, sioni cha ajabu baina ya mke na mume.
Vipi lakini unakumbuka uliiacha na saizi gani usije ukawa uliiacha ndogo ukakuta tayari wahuni wameshaongezea
Hujasomeka
I mean ni kawaida ya wapenzi wa kiwa mbali for long time, sasa soni cha zaidi katika hii thread. I hope mwenziwako kapania kama unilivyopania.
all the best loh!