Service ya kubadili oil ulishafanya?Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Shida hiiNenda gereji hapa sio gereji
Nenda gereji hapa sio gereji
Mkuu magari ya siku hizi umeme mwingi ..hayapigiwi ramli....Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Mkuu magari ya siku hizi umeme mwingi ..hayapigiwi ramli....
Fanya diagnosis ambayo haizidi elfu 50....
Unaweza kukuta ni kitu kidoogo tu...
Conteol box ikizingua ungeona mapicha picha mpaka uchanganyikiwe...
Roho ya kimasikini ilio topea... gad'dem maza fanta ..maninerrrrrNenda gereji hapa sio gereji
Gari lako litakuwa na moja kati ya matatizo yafuatayo:-Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Najua hiyo gari itakuwa na cvt, upande wa engin oil unatumia 30 Kwa 10? na gearbox je unatumia cvt?Asante kwa ushauri
Mkuu hapo ni gearbox inazingua gear ya tatu au ya nne. Ila kabla hujafika ndani ya gearbox, kuna solenoids zinazofungulia oil kwenye channel ya kila gear. Hivyo kama solenoid ya gear ya tatu au nne imekufa, gear hizo hazibadiliki hivyo gari kubakia kwenye mwendo mdogo. Chakufanya ni ku test kwanza solenoids.
NB: Hii ni kama transmission oil ipo level inayotakiwa na ni nyekundu. Tofauti na hapo, huenda ni suala tuu la kubadili hiyo o
Napata logic hapa. Tungepata feedback hapa ingependezaMkuu hapo ni gearbox inazingua gear ya tatu au ya nne. Ila kabla hujafika ndani ya gearbox, kuna solenoids zinazofungulia oil kwenye channel ya kila gear. Hivyo kama solenoid ya gear ya tatu au nne imekufa, gear hizo hazibadiliki hivyo gari kubakia kwenye mwendo mdogo. Chakufanya ni ku test kwanza solenoids.
NB: Hii ni kama transmission oil ipo level inayotakiwa na ni nyekundu. Tofauti na hapo, huenda ni suala tuu la kubadili hiyo oil
Naomba feedback mkuu, ulifanikiwaje hapa?Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Kumbe ndio Maana Premior ni bOra zaid kuliko Allion eeeeh.Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Kumbe ndio Maana Premior ni bOra zaid kuliko Allion eeeeh.
Pole mwamba kagua kgumo wa gear BOX