Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaacha kuwaza core point ya Thread unakimbilia kwenyeabishano yasiyo na tija.... Kuweka picha ya Japan haimaanishi gar Iko Japan... Huna connection kausha sio lazma Kila kitu uchangieeGari iko yard Japan, inafika lini Bongo?
Mkuu nakushauri uwe na kampuni ya usafirishaji kisha uanze kuomba tenders za usafirishaji kwa hawa watu wa catering, mashule, taasisi mbalimbali pamoja na kuuza ice cream, kisafirisha samaki za baharini kwenda mikoani au kutoa samaki za maji baridi kuja Dar es Salaam. Fursa ni nyingi ila usitegemee zikufuate kama hujajitengenezea thamani ya biashara yako.Kuna gari nnayo hapa sasa natafuta tenda za nyama au kubeba mboga mboga au vitu ambavyo vinahitaji friji na tenda iwe ya Kila siku au mwezi au hata alie na Connection ya kazi hizo tunaweza kuwa wote kwenye gari hyoView attachment 2431171View attachment 2431172
Hii pesa mkuu, jaribu kupita machinjioni utapata connection tu.Kuna gari nnayo hapa sasa natafuta tenda za nyama au kubeba mboga mboga au vitu ambavyo vinahitaji friji na tenda iwe ya Kila siku au mwezi au hata alie na Connection ya kazi hizo tunaweza kuwa wote kwenye gari hyoView attachment 2431171View attachment 2431172
Bonge la wazo ila unaanzisha kampuni kwa gari Moja? Procedure zake unazijua? Na ukiwa na kampuni charges za Kodi ni kubwa kuliko kufanya kazi personalMkuu nakushauri uwe na kampuni ya usafirishaji kisha uanze kuomba tenders za usafirishaji kwa hawa watu wa catering, mashule, taasisi mbalimbali pamoja na kuuza ice cream, kisafirisha samaki za baharini kwenda mikoani au kutoa samaki za maji baridi kuja Dar es Salaam. Fursa ni nyingi ila usitegemee zikufuate kama hujajitengenezea thamani ya biashara yako.
Sehem gan? Ubungo ipi? Kiwanda kipo sehem Gani?Nenda pale Ubungo wanapouza maziwa asubuhi utapata kazi ya kutoa maziwa mikoa ya jirani kuleta Dar es Salaam.
Umetisha mkuu AsanteJapo sina connection , ila niseme tu "Kila la Heri kwako mdau. Mambo yako yasonge.
Hii gari iko nchi gani?Kuna gari nnayo hapa sasa natafuta tenda za nyama au kubeba mboga mboga au vitu ambavyo vinahitaji friji na tenda iwe ya Kila siku au mwezi au hata alie na Connection ya kazi hizo tunaweza kuwa wote kwenye gari hyoView attachment 2431171View attachment 2431172
Kiongozi, usi-criticise watu kwa namna hiyo..!! Usisahau watu washatapeliwa sana tu kisa wali-concentrate kwenye core point ya jambo husika..!! Acha watu wajitoe wasiwasiUnaacha kuwaza core point ya Thread unakimbilia kwenyeabishano yasiyo na tija.... Kuweka picha ya Japan haimaanishi gar Iko Japan... Huna connection kausha sio lazma Kila kitu uchangiee
Landmark Hotel kwa mbele kidogo kama unaelekea Mabibo HostelSehem gan? Ubungo ipi? Kiwanda kipo sehem Gani?
Ok nishapapata mkuu Asante sanaLandmark Hotel kwa mbele kidogo kama unaelekea Mabibo Hostel
Unajua Usipende kukaza ubongo kwenye Kila kitu..... Ndio maana mnatapeliwa sababu Kila kitu unawaza utapeli... Wewe kwenye ishu yangu hii unatapeliwa wapi? Gari yangu mm naomba tu kupata mawazo na connection ambazo huusiki au hata kama utanipa nikifika huko Hamna kupeana pesa Wala nn sana sana mm ndo labda ntapeliwe lakin mtu hata uwazi kwa kina unaenda kwenye vitu kama picha una doubt huo ni ujinga.... Wenye msaada wametoa mawazo Yao wamekausha ndio uungwana na tayar nshapata msaada lakin sio hizi pumba mnaleta nyieKiongozi, usi-criticise watu kwa namna hiyo..!! Usisahau watu washatapeliwa sana tu kisa wali-concentrate kwenye core point ya jambo husika..!! Acha watu wajitoe wasiwasi
Kaka naomba maelezo zaidi.... Naweza kuja Pm walao nipate namba tuongee vizuriUtajiri huo uko wazi kabisa, nenda Mto ruvu ndanindani kuna sehemu wanatoa samaki kambale bei rahisi mno kule hawana barafu kipindi kama hivi ambacho mboga ni shida utapiga pesa sana maana kwa wiki wewe utapiga kazi mara nne soko lipo riverside kwa chini kule wanunuzi wa jumlajumla utawapata wenye ofisi zao unakula cash unaondoka yaani rahisi sana
Kaka naomba maelezo zaidi.... Naweza kuja Pm walao nipate namba tuongee vizuri